Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sasa pdf zitatokaje bila usaili?watoe pdf usahili sio muhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa pdf zitatokaje bila usaili?watoe pdf usahili sio muhimu sana
Database ipoSasa pdf zitatokaje bila usaili?
Na ndio mana mm cjawah kuwa na imani na Database labla n kutokana na nilichosomea, pia labla makampuni bado hayajahitaji watu, tuendelee kuwa wapole.Database ipo
Piga usaili afu usubir pdf na sio kusubir pdf kupitia database wakat wenzako walishaajiriwa ila ww hukupata nafasi, ndo mana tunakuwa na stress humu.Database ipo
watajua wenyewe mi nachotaka pdf tena jina langu liwepo fullstop lasivyo ntachowafanyia hawatanisahau.Sasa pdf zitatokaje bila usaili?
🔥🔥🔥 Kimewaka 😂watajua wenyewe mi nachotaka pdf tena jina langu liwepo fullstop lasivyo ntachowafanyia hawatanisahau.
MDAs & LGAs tusubiri mwakaniPiga usaili afu usubir pdf na sio kusubir pdf kupitia database wakat wenzako walishaajiriwa ila ww hukupata nafasi, ndo mana tunakuwa na stress humu.
Ninayo received yao moja, ngoja niendelee kutafuta nauliMDAs & LGAs tusubiri mwakani
Ngoja nijipange nilkuwa najaza received tunasikia unachagua topic ya kupresent then unapigwa maswali kwenye ulichofundisha lakin pia yale maswali common kama kawaida yapo
Tulia, muda wako unakaribia mkuu.PSRS kumepoa. Waanze kuita watu usaili pachangamke. Ninazo received miezi minne inaenda sasa.
Sawa mkuu. Ngoja tuendelee kusubiriTulia, muda wako unakaribia mkuu.
Tukutane msimu mpya wa fedha 2025/2026 😂Ila ukifanya interview za MDAs hadi ukapangiwa kazi Inabidi uwe na back ya moyo, maana moyo utauma sana na presure juu so andaa moyo wa backup!😁😁😳,kuna member hadi leo hazijapangiwa zote zilizo ingia interview, sasa sijui waitisha usahili wa nini kama mambo hayako poa now zaidi ya mwaka, ndo hivyo Mahenga alisemaga mkubwa atabaki kuwa mkubwa hata kama akifanya madudu, ila huu ni ujinga uliyopitiliza looh!
😁😁Tukutane msimu mpya wa fedha 2025/2026 😂
Hadi uwe na masterWakuu hivi hapa mtu mwenye bachelor pekee anaruhusiwa kuomba au lazima uwe na masters pia (yaani vyote kwa pamoja)View attachment 3091639