pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
ππππkama ndo ivo wakiniajili nitakua naenda ijumaa tu π€£ π€£
Sawa mkuu, wamekuelewa.Nakazia tena waalimu jiandaeni kwa usaili wa kuandika na mahojiano but kuna baadhi ya masomo mliiomba wachache mtakuwa na usaili wa mahojiano pekee
Pdf la uchovu sanaaKuna PDF uko...hongereni mliopata
Kidogo kidogo tutafikiwa kuliko kukosa kabisaPdf la uchovu sanaa
Bado muendelezo wa LGA&MDA....!!π«ππ«Pdf la uchovu sanaa
hakuna kitu apoPdf la uchovu sanaa
hakuna kitu apo
Hahaha π€£ π muache bn yuko frustratedUngekuemo lingekua pdf fulani matata sanaπ
Kwamba hajui kuwa kuna watu wamefurahi kujiona πUngekuemo lingekua pdf fulani matata sanaπ
Guys, mtu akiwa anategemea database lazima awe na stress na ndio mana mm hua naangalia pdf kama kutimiza wajibu ila sina imani nayo.Yeah kazi iendelee
Hahaha π€£ π muache bn yuko frustrated
Nouma stress za kuwafuatilia utumishi zinaweza kukuua kama mwamba apo juu kakata tamaa kabisaGuys, mtu akiwa anategemea database lazima awe na stress na ndio mana mm hua naangalia pdf kama kutimiza wajibu ila sina imani nayo.
Fanya usaili afu ukae kufatilia pdf za placement ukijikosa kazin bc kuwa mpole afu angalia pdf za database kwa kutimiza wajibu tuu na sio kuwa na imani nayo.
Mbaya zaidi n akaunti yako ina selected for oral halafu unaona kampuni ile ile inatangaza nafasi ya kazi ile ile ambayo una selected for oral πNouma stress za kuwafuatilia utumishi zinaweza kukuua kama mwamba apo juu kakata tamaa kabisa
##matokeo ya oral ni haki yetu hii itasaidia kuondoa sonona bora mtu ajue kakosa kuliko kuwa na matumaini na kitu ambacho hujui
Mungu atusaidie vijana wa kitanzania kila hatua ni mitihani
Written kuna challenge
Practical challenge
Oral challenge
Placement apa ndo matatizo mtu unadata
Sijui uko mbele
sasa pdf mtu haupo linakuaje matata π€£ π€£Ungekuemo lingekua pdf fulani matata sanaπ
hivi kuna mtu jobless hayuko frustrated humu π€£ π€£Yeah kazi iendelee
Hahaha π€£ π muache bn yuko frustrated