Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Leo Admin kapokea per diem nini mbona anawanyoosha watu hivi😂
 

Attachments

  • Screenshot_20240910-131820~2.jpg
    Screenshot_20240910-131820~2.jpg
    79.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240910-131820~2.jpg
    Screenshot_20240910-131820~2.jpg
    79.8 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240910-131852~2.jpg
    Screenshot_20240910-131852~2.jpg
    28.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240910-131838~2.jpg
    Screenshot_20240910-131838~2.jpg
    88.1 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240910-131820~2.jpg
    Screenshot_20240910-131820~2.jpg
    79.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240910-131810~2.jpg
    Screenshot_20240910-131810~2.jpg
    41.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20240910-131922~2.jpg
    Screenshot_20240910-131922~2.jpg
    45.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20240910-132029~2.jpg
    Screenshot_20240910-132029~2.jpg
    38.7 KB · Views: 8
Nakazia tena waalimu jiandaeni kwa usaili wa kuandika na mahojiano but kuna baadhi ya masomo mliiomba wachache mtakuwa na usaili wa mahojiano pekee
 

Attachments

  • Screenshot_20240910-133853_Instagram.jpg
    Screenshot_20240910-133853_Instagram.jpg
    285.4 KB · Views: 9
PSRS wanasema mikeka ipo mingi ya kutosha...wanasubir wamalize afya na walimu waitoe kwa pamoja..
Mnatakiwa mkifika halmashauri mnaenda mnaenda kuchagua madiwan kabisa
 
Yeah kazi iendelee

Hahaha 🤣 😂 muache bn yuko frustrated
Guys, mtu akiwa anategemea database lazima awe na stress na ndio mana mm hua naangalia pdf kama kutimiza wajibu ila sina imani nayo.

Fanya usaili afu ukae kufatilia pdf za placement ukijikosa kazin bc kuwa mpole afu angalia pdf za database kwa kutimiza wajibu tuu na sio kuwa na imani nayo.
 
Guys, mtu akiwa anategemea database lazima awe na stress na ndio mana mm hua naangalia pdf kama kutimiza wajibu ila sina imani nayo.

Fanya usaili afu ukae kufatilia pdf za placement ukijikosa kazin bc kuwa mpole afu angalia pdf za database kwa kutimiza wajibu tuu na sio kuwa na imani nayo.
Nouma stress za kuwafuatilia utumishi zinaweza kukuua kama mwamba apo juu kakata tamaa kabisa

##matokeo ya oral ni haki yetu hii itasaidia kuondoa sonona bora mtu ajue kakosa kuliko kuwa na matumaini na kitu ambacho hujui

Mungu atusaidie vijana wa kitanzania kila hatua ni mitihani

Written kuna challenge
Practical challenge
Oral challenge
Placement apa ndo matatizo mtu unadata

Sijui uko mbele
 
Nouma stress za kuwafuatilia utumishi zinaweza kukuua kama mwamba apo juu kakata tamaa kabisa

##matokeo ya oral ni haki yetu hii itasaidia kuondoa sonona bora mtu ajue kakosa kuliko kuwa na matumaini na kitu ambacho hujui

Mungu atusaidie vijana wa kitanzania kila hatua ni mitihani

Written kuna challenge
Practical challenge
Oral challenge
Placement apa ndo matatizo mtu unadata

Sijui uko mbele
Mbaya zaidi n akaunti yako ina selected for oral halafu unaona kampuni ile ile inatangaza nafasi ya kazi ile ile ambayo una selected for oral 😂
 
Back
Top Bottom