El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
tcra bila shaka 😀 😀Kuna taasisi nimepania lkn sijui kama interview itanikuta bado jobless
huko ndo unatoboa sasa😀😀Katika Oral zote ya mwaka huu imetia fola.
Jamaa hawana muda wa kupeti peti kama tulivyozoea.
Ukijibu Point 3 unasema ufikirie wahsaenda swali linalofuata.
Wakali.,wako harsh.
Mengine tuwachie wao
Hii nikipata naanza kuwaongelesha kingereza tu..tcra bila shaka 😀 😀
aisee hiyo interview mtajaza hall 😀 😀Hii nikipata naanza kuwaongelesha kingereza tu..
🤣🤣🤣Ama kweli utumishi wamejua kuwanyoosha Electrical Engineers 😅😅😅😅😅
Nasikia utumishi wanalipiza kisasi kwa vile Electrical Engineers tulikuwa tunawafokea na kuwatukana kwenye interviews 😆😆😆😆😆
Mikando ya temesa na taa ndo naisubir kwa hamu,na tutawafokea sana tu Engineers wa umeme hadi kielewekeUmeshaenda kwenye mikando ya Temesa na TAA ?
Maana wengine sisi hadi leseni zishaexpire
Sasa mko buku sita halafu wanahitajika buku unategemea nn zaidi ya kupigwa panga wakikuona unajishikashika.Katika Oral zote ya mwaka huu imetia fola.
Jamaa hawana muda wa kupeti peti kama tulivyozoea.
Ukijibu Point 3 unasema ufikirie wahsaenda swali linalofuata.
Wakali.,wako harsh.
Mengine tuwachie wao
Renew leseni hyo Engineer,hapa ad kielewekeUmeshaenda kwenye mikando ya Temesa na TAA ?
Maana wengine sisi hadi leseni zishaexpire
kimbukiko kashakata moto anasubiri database kama mimi 😀 😀Renew leseni hyo Engineer,hapa ad kieleweke
hao ni utumishi au privateWakuu, mm n videographer. Sasa mara nyingi nikiwa naomba kazi hua wanataka nitume portfolio yangu inayoonyesha kazi zangu.
Naombeni msaada wenu wa kujua namna ya kuandaa hy portfolio au kama kuna apps za kuandaa portfolio mnionyeshe mana nimezunguka play store nmekosa.
🤣🤣🤣🤣kimbukiko kashakata moto anasubiri database kama mimi 😀 😀
tumechoka kutupa ela faamchezo nin🤣🤣🤣🤣
Privatehao ni utumishi au private
Jiandae mapema soma kila kituSasa mko buku sita halafu wanahitajika buku unategemea nn zaidi ya kupigwa panga wakikuona unajishikashika.
Ukipewa nitagi mkuuuWakuu kuna jamaa humu alikosaga shortlisted kwa ajili ya kukosea barua ya kazi akatuma screen shot naiomba kama bado anayo
Nakumbuka alikosea kwenye address, yeye aliandika Address ya muajiri badala ya psrsWakuu kuna jamaa humu alikosaga shortlisted kwa ajili ya kukosea barua ya kazi akatuma screen shot naiomba kama bado anayo
Mm sihusiki hukoJiandae mapema soma kila kitu
Weka kazi zako unazo fanya za videograph either in video format, pdf na picha pichaWakuu, mm n videographer. Sasa mara nyingi nikiwa naomba kazi hua wanataka nitume portfolio yangu inayoonyesha kazi zangu.
Naombeni msaada wenu wa kujua namna ya kuandaa hy portfolio au kama kuna apps za kuandaa portfolio mnionyeshe mana nimezunguka play store nmekosa.