Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Hivi kama umesahau kuandika tarehe panga linaweza kukuhusuNakumbuka alikosea kwenye address, yeye aliandika Address ya muajiri badala ya psrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kama umesahau kuandika tarehe panga linaweza kukuhusuNakumbuka alikosea kwenye address, yeye aliandika Address ya muajiri badala ya psrs
Sawa mkuu kama unamjua mtagUkipewa nitagi mkuuu
Nimesahau kk.Sawa mkuu kama unamjua mtag
Mkuu najiandaa na kujifua vyema sasa jana naangalia zile barua karibia zote sijaandika tarehe ya barua aisee nimevunjika moyo yaani nimefeli kabla ya pepaNimesahau kk.
Pole mkuu hakuna uzembe ata daktar kusahau tissue tumboni ila hakika utapita halitozingatiwa mkuuMkuu najiandaa na kujifua vyema sasa jana naangalia zile barua karibia zote sijaandika tarehe ya barua aisee nimevunjika moyo yaani nimefeli kabla ya pepa
UtAitw mkuu nenda na affidavit kwA uthibitisho kuwa ni wwHabari za mida hii
Ukiwa unatumia majina yafuatayo kwenye vyeti
Cheti cha form 4
Juma Said Juma
Cheti cha form 6
Juma Said Juma
Cheti cha chuo
Juma Said Juma
Nida
Juma Said Juma
Lakini cheti cha kuzaliwa
Juma Saidi Juma
Je kwenye usahili kwenye ukaguzi wa vyet naweza kuzuiwa kuingia kwenye usahili
Umenitia moyo maana nimeacha madesa kwa muda nasubiri shortlist kwanzaPole mkuu hakuna uzembe ata daktar kusahau tissue tumboni ila hakika utapita halitozingatiwa mkuu
Inabidi utafute lishangazi pale Dodoma, maana mpaka hizo received unamaliza utakuwa umeshakijua kigogo 😀😛Mim mpk sasa nina received 28..oral moja alaf shortlist ya kwanza tu ni oral direct....
Nauli zinatumika sana itafikia mahali konda wa bus anakukariri anakuita staff unakaa mbele pale kwenye engine😀😀😀
Wanachoangalia ni address na signature yako. Jipange kwa usaili mkuu.Hivi kama umesahau kuandika tarehe panga linaweza kukuhusu
Dah hapo cjajua aisee ila sidhan kama itakuwa tatizoHivi kama umesahau kuandika tarehe panga linaweza kukuhusu
Sasa ndo naweka wap na nawekajeWeka kazi zako unazo fanya za videograph either in video format, pdf na picha picha
ShukraniUtAitw mkuu nenda na affidavit kwA uthibitisho kuwa ni ww
Mkuu asaivi tumekuwa marafiki nilitarajia jibu lililoshiba hatimae limekuja jibu jepesi kusoma hahahhahDah hapo cjajua aisee ila sidhan kama itakuwa tatizo
Kama nihivyo itakuwa poa sana maana nishaona nishapuyanga hususan baada ya kuona ile screenshot ya mshikaji ilikuwa na makosa ya barua tupuInabidi utafute lishangazi pale Dodoma, maana mpaka hizo received unamaliza utakuwa umeshakijua kigogo 😀😛
Wanachoangalia ni address na signature yako. Jipange kwa usaili mkuu.
Ah afu umesema hvy ndo nkakukumbuka ila Mm hua sina kawaida ya kumkariri mtu 😂Mkuu asaivi tumekuwa marafiki nilitarajia jibu lililoshiba hatimae limekuja jibu jepesi kusoma hahahhah
Hapa sawa mkuu ngoja niendelee kuwasoma wafuAh afu umesema hvy ndo nkakukumbuka ila Mm hua sina kawaida ya kumkariri mtu 😂
Ujue date inajitegemea yenyewe, yn pale juu kuna address na tarehe, sasa kukosekana kwa trh cjui itakuaje.
Hapo n kuomba Mungu tuu wasizingatie hapo.
H n tofaut na yule mwngn, mana yeye aliandika kila kitu vzr ila alikosea kuweka address ya muajiri badala ya psrs, sasa n tofaut na ww mana yeye n ishu kubwa ila kwako sio ishu kubwa mana n trh tuu.
Ukituma application unazituma kwa pamoja kama unavyo ambatanisha vyeti na cv katika applicationSasa ndo naweka wap na nawekaje
Yn hizo video natuma kama vile namtumia mtu video wasap?Ukituma application unazituma kwa pamoja kama unavyo ambatanisha vyeti na cv katika application