Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

baada ya oral check rangi ya neno selected kwenye status! kama ni kijani hiyo ni clue ya asali, ila usiweke matumaini sana! kama bado nyeusi jipe moyo!
Hakuna kitu kama hicho, hiyo rangi ya kijani ipo kwa watu wote, kuna watu nawajua wanazo za kijana na bado kazi ile ile bado ikatangazwa kazi na wao kuachwa maana ake n kwamba hata hawakuwepo Database.
 
Hakuna kitu kama hicho, hiyo rangi ya kijani ipo kwa watu wote, kuna watu nawajua wanazo za kijana na bado kazi ile ile bado ikatangazwa kazi na wao kuachwa maana ake n kwamba hata hawakuwepo Database.
Toa ushahidi apa kina nani hao
 
Hakuna kitu kama hicho, hiyo rangi ya kijani ipo kwa watu wote, kuna watu nawajua wanazo za kijana na bado kazi ile ile bado ikatangazwa kazi na wao kuachwa maana ake n kwamba hata hawakuwepo Database.
Sijasema lazima apate! Na haipo kwa kila .mtu bali kwa waliofikia pass mark iliyopendekezwa. Ila ni kwamba wengi wanaoitwa oral huwa ni wakali na karibuni wote huifikia hiyo pass mark.
 
Sijasema lazima apate! Na haipo kwa kila .mtu bali kwa waliofikia pass mark iliyopendekezwa. Ila ni kwamba wengi wanaoitwa oral huwa ni wakali na karibuni wote huifikia hiyo pass mark.
Sasa kama upo database c hapo lazima uitwe kazin na kama hauko kwenye database maana ake c ulifeli oral au?
 
Sijasema lazima apate! Na haipo kwa kila .mtu bali kwa waliofikia pass mark iliyopendekezwa. Ila ni kwamba wengi wanaoitwa oral huwa ni wakali na karibuni wote huifikia hiyo pass mark.

Labla tufanye hv em wote humu ambao wana selected ya rangi nyeusi wapige screenshot wazionyeshe hapa ndio nitaamini maneno yako tofauti na hapo bc kaa ukijua selected zote hua n rangi ya kijani
 
Weka single file video zote na kama ni pdf pia weka single file then tuma zikiambatana na docoment zingine za academic na cv
Je naweza kutumia link ya google photos?

Mana hapo unaweza kutengeneza link na ukamtumia mtu akaona picha ambazo umeziweka kwenye hiyo link.
 
Back
Top Bottom