PageNoteFound
Senior Member
- Aug 18, 2024
- 153
- 399
Karata vigogo waliocheza mwaka jana kwa Mama kupigania intern(watoto wao) waingie kwenye system bila interview( TRA NA NSSF )wamefanikiwa hilo lengo lao mapema sanaa.....
Wanazingua sana , lakini hakuna namna Tz hiiHIki kigezo cha umri kwa baadhi ya taasisi kipitiwe upya....naona TFS na kuna kigezo cha umri
Bado upo sumbawanga?Una nyege Mzee
Sio uki tu mzee...taasisi nyeti kupata kaz mtihaniKarata vigogo waliocheza mwaka jana kwa Mama kupigania intern(watoto wao) waingie kwenye system bila interview( TRA NA NSSF )wamefanikiwa hilo lengo lao mapema sanaa.....
Sio uki tu mzee...taasisi nyeti kupata kaz mtihani
Fuatilia ule uzi wa taasis zenye mishahara minono...alafu angalia ngap zimeajiri...Ebu nikumbushe mkuu, kama tahasisi zipi?
Dalili gani wanazoweza kuonyesha wasahili kwa msahiliwa na akajua hapa ametoboa au hapa amebolonga,? tuishi humuMatokeo ni kwa mkoa husika tu....wale walioenda bush uko watapenya mapema tu
Duuhhhh, Mungu aingilie katiAcha kuwatetea msaka tonge mwenzetu.
Nimefanya oral staasisi kubwa na treatment ya juzi ilikuwa ya ovyo.
Kwanza hakuna panel ilikuwa na watu 100.
Wasaili walikuwa wanne wasailiwa walikuwa 20 inategemea na kada.
Muda DK 15.
Ila wengi wamefanya Dk 5 hadj 10 tena kwa kukimbizwa puts puta.
Asubuhi wanajizungusha wanakuja kuanza pepa saa 7 mchana baada ya kula unategemea nini hapo ?
Kiukweli hatuwezi kueleza mengi ila walikuwa Harsh.
Unashangaa ww unawatetea msubiria mikeka mwenzetu
Wale jamaa huwa wanatabasamu na kukupa maneno mazuri hata kama umefeli....ni ngumu kujiaminisha umetoboa..kikubwa ujibu maswali yte vzrDalili gani wanazoweza kuonyesha wasahili kwa msahiliwa na akajua hapa ametoboa au hapa amebolonga,? tuishi humu
Na baada ya kumaliza usahili tutarajie comment gani nzuri nzuri kutoka kwao au kikubwa umemaliza intervyu unasepa? Wanaweza kukwambia hongera umefanya vzuri na ukaachwa na kukupokea vyema ukiwa unajibu maswali na ukaachwa😂Wale jamaa huwa wanatabasamu na kukupa maneno mazuri hata kama umefeli....ni ngumu kujiaminisha umetoboa..kikubwa ujibu maswali yte vzr
Wale jamaa huwa wanatabasamu na kukupa maneno mazuri hata kama umefeli....ni ngumu kujiaminisha
wanaweza kukwambia jiandae kuingia kazini na pitia account yako mara kwa mara , kumbe umebolonga mweeee🤣🤣
Wanakushukuru na kukwambia matokeo yatatangazwa kwenye site...Na baada ya kumaliza usahili tutarajie comment gani nzuri nzuri kutoka kwao au kikubwa umemaliza intervyu unasepa? Wanaweza kukwambia hongera umefanya vzuri na ukaachwa na kukupokea vyema ukiwa unajibu maswali na ukaachwa😂
Au unaambiwa asante kwa kushiriki, pambana kwa wakati mwingineWanakushukuru na kukwambia matokeo yatatangazwa kwenye site...
Kuna jamaa anasema alisisitizwa kama mara tatu kuwa apitie ajira portal mara kwa mara,akazani wanampanga tuWanakushukuru na kukwambia matokeo yatatangazwa kwenye site...
Hii sidhani...maadili ya kazi yao ni kama udaktari..hutakiwi kumwambia mgonjwa ' we utakufa' hata kama unajua hatoboiAu unaambiwa asante kwa kushiriki, pambana kwa wakati mwingine
Yea uko sure mkuu, ukiona amefanya ivo labda amekiuka tuHii sidhani...maadili ya kazi yao ni kama udaktari..hutakiwi kumwambia mgonjwa ' we utakufa' hata kama unajua hatoboi
"See you next time" ujue hapo ushayakoroga😂😂Dalili gani wanazoweza kuonyesha wasahili kwa msahiliwa na akajua hapa ametoboa au hapa amebolonga,? tuishi humu
Hapa hatujapata jibu Ila tunahisi Luna dalili ya Mfano MD akawa wa mwisho mkoa X kwa kupata 70 na mkoa mwingine wa kwanza akawa na 70 wa mwisho 50 Hii ndo hatujapata jibu tunawasubiri utumishi?Mfano mkoa X wapo 8 na wanaohitajika ni 6 wakat huo matokeo yametoka mtu wa mwisho kwenye 6 waliochaguliwa ana 52, mkoa mwingine wa kada hio hio wasahiliwa wapo 20 alaf nafasi zipo 10 wakati huo Kuna mtu hajapata kati ya hao 20 lakini ana marks 60, je watafanyaje apo ?