pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
wewe ni mungu unawapamgia watu maisha yao? Sema tukupe cheo cha MUNGU.Wakuu mtakuwa mnafanya maendeleo kweli?
Naona mnawaza kupangiwa vituo tu hizo kazi mnazofanya si mtakuwa mnazifanya kama geresha tu
Simpangii mtu ila ni bora ajira mkaziweka plan B, na kazi mnazofanya ziwe ndio plan A
Wakuu mmepanicwewe ni mungu unawapamgia watu maisha yao? Sema tukupe cheo cha MUNGU.
Waachie mkeka kesho tuamkie kwenye SGR...Wakuu mmepanic
Hatujapaniki lakini hauna cha kutusaidia JoblessWakuu mmepanic
Wakuu mtakuwa mnafanya maendeleo kweli?
Naona mnawaza kupangiwa vituo tu hizo kazi mnazofanya si mtakuwa mnazifanya kama geresha tu
Simpangii mtu ila ni bora ajira mkaziweka plan B, na kazi mnazofanya ziwe ndio plan A
Received na database visikutoe kwenye reli mkuu ikawa hako kabiashara unakofanya ukakafanya kama legesha tu pambana biashara ikue fanya mambo yote uliyoplan bila kutolewa kwenye mchezo na utumishiUnachokiongea ni sahihi ila utekelezaji wake ni mgumu sana kwa mifumo yetu inatotuzunguka, ukimuona kijana anafikilia ajira sio tu kakulupuka ujue kuna changamoto anazipitia, na vijina wengi walishajaribu kujiajiri ila kuna sehemu wanakwama, ww pitia maeneo ya kariakoo angalia vijana wanavyopambana kujiajiri alafu angalia na support wanayoipata ili kufanikisha iyo ndoto yao.
Ila khasante kwa ushauri tutazid kuufanyia kazi pale nafasi itakapo patokana..
Nisameheni wakulungwa sitarudiaHatujapaniki lakini hauna cha kutusaidia Jobless
Una nauli?Waachie mkeka kesho tuamkie kwenye SGR...
Received na database visikutoe kwenye reli mkuu ikawa hako kabiashara unakofanya ukakafanya kama legesha tu pambana biashara ikue fanya mambo yote uliyoplan bila kutolewa kwenye mchezo na utumishi
Ni hayo tu mkuu
Hujawapa komwe lako la huko jalalani
Pole mkuu pambana you are not alone there tupo rundoUnachokiongea ni sahihi ila utekelezaji wake ni mgumu sana kwa mifumo yetu inatotuzunguka, ukimuona kijana anafikilia ajira sio tu kakulupuka ujue kuna changamoto anazipitia, na vijina wengi walishajaribu kujiajiri ila kuna sehemu wanakwama, ww pitia maeneo ya kariakoo angalia vijana wanavyopambana kujiajiri alafu angalia na support wanayoipata ili kufanikisha iyo ndoto yao.
Ila khasante kwa ushauri tutazid kuufanyia kazi pale nafasi itakapo patokana..
Wanamalizana na walimu kwanzaUtumishi wamegoma kuita interview watu wa TCRA???
Pole mkuu pambana you are not alone there tupo rundo
Wanamalizana na walimu kwanza
Wakifanya usaili nahisi wa 10 huko.Dooh! Sasa walimu wanamalizana nao lini?
Tawilekuna pdf mazee