T-Pain mdau wa maendeleo ya vijana Africa Mashariki na Kati, nilisikitika sana ulipopigwa bankuna pdf mazee
Ukiona mtu amekutukana, ww tulia tuu usiumizane nae kichwa.acha tu rafiki yangu kuna punga liliniponza
fresh ntajitahidiUkiona mtu amekutukana, ww tulia tuu usiumizane nae kichwa.
dahh sio poa aisee🤣🤣Hawa ndo utumishi ninaowajua mie.
Hapa sijakuelewa .Kuna mikeka mingi sana mbeleni, tusubiri hizi halmashauri zimalize interview...ukiangalia mikeka ya nyuma utaona halmashauri zilkuwa zinaita madereva na watendaji kwenye interview alaf pdf likitoka wanatoa na kada nyingine kutoka database
wananatuchelewesha maisha bure tu mwenzetu pinacoladee kashaanza kupiga bati sa hivi...Ila utumishi wamepwaya .
Ukiangalia mikeka ya mwezi wa saba ,sita,nane wanaita kazini kwenye database zaidi ya mwaka sikuizi wanaenda zaidi ya mwaka na nusu.
Naona shida iko kwao na si kwa wasailiwa
Mfano Geita unakuta wanaita madereva na watendaji interview...lkn pdf linatoka na electricians, IT, Surveyors n.k kutoka Database.. kwahyo wakimaliza hawa nahisi wataachia tuHapa sijakuelewa .
Wakifanya usaili nahisi wa 10 huko.
Mimi naona ni muda wa Database kukaa miaka miwili imefika.wananatuchelewesha maisha bure tu mwenzetu pinacoladee kashaanza kupiga bati sa hivi...
Kwakwel🤣🤣hapa wazee wa database tuandike maumivu 🤣 🤣
Tulieni wakuu database ipo na inafanya kazihapa wazee wa database tuandike maumivu 🤣 🤣