Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wana nia njema, hawataki vijana mvunjike moyo😂🤣😂😂Endeleeni kutuchota na kutuaminisha uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana nia njema, hawataki vijana mvunjike moyo😂🤣😂😂Endeleeni kutuchota na kutuaminisha uongo
Tunawashukuru kwa hilo😁Wana nia njema, hawataki vijana mvunjike moyo
hapa wazee wa database tuandike maumivu 🤣 🤣
Mimi nakwambia ukweli kwa sababu nimefanya saili zaidi ya tano utumishi hadi nilipopata kazi! Utaratibu ni ufaulu kwanza! Kwa hiyo usije ukafukiri kwakuwa ulichagua kigoma au sumbawanga basi ukapate 10au 20 ukadhani basi utapewa kipaumbele kwakuwa ulichagua kwenda chaka …hapana kwa utumishi ni kufaulu kwanza na marks lazima zianzie 50 na mwenye nyingi zaidi ndio mshindi! Na mshindi anapelekwa popote hayo ya kuchagua mikoa ni kuwaridhisha tuu!Wewe ni sehemu ya utumishi au mpiga ramli kama wengine?
Upo sahihi mkuu, kama mainjinia wa umeme, walikuwa kama nane wote wamepigwa shoti, hakuna aliyetoboa. PSRS ni makatili aisee, wanaweza kuwapigisha kichurachura wote asipate hata mmojaMimi nakwambia ukweli kwa sababu nimefanya saili zaidi ya tano utumishi hadi nilipopata kazi! Utaratibu ni ufaulu kwanza! Kwa hiyo usije ukafukiri kwakuwa ulichagua kigoma au sumbawanga basi ukapate 10au 20 ukadhani basi utapewa kipaumbele kwakuwa ulichagua kwenda chaka …hapana kwa utumishi ni kufaulu kwanza na marks lazima zianzie 50 na mwenye nyingi zaidi ndio mshindi! Na mshindi anapelekwa popote hayo ya kuchagua mikoa ni kuwaridhisha tuu!
Chamsingi wewe ni kukaza buti tuuu na kuhakikisha unafaulu kuliko mwenzio hawana cha kukuhurumia kisa umekwenda kigoma! Mkifeli kituo kizima wanafyeka tuu!
Sio makataili wanataka watu walio iva haswa😂😂tutajionea mengiUpo sahihi mkuu, kama mainjinia wa umeme, walikuwa kama nane wote wamepigwa shoti, hakuna aliyetoboa. PSRS ni makatili aisee, wanaweza kuwapigisha kichurachura wote asipate hata mmoja
Hii pdf ya mwenzi wa saba usaili....Katibu mpya naona sasa anaanza kumwaga Moto..tusubirie zinazofwata
natest mitambo,kabla ya kuachia mtambo mkubwaHii pdf ya mwenzi wa saba usaili....
Katibu ndo kakuta file la kwanza liliokuwa juu ya meza nini....!!!!
Kabla ya tr.30 apoKatibu mpya naona sasa anaanza kumwaga Moto..tusubirie zinazofwata
Katibu alkuwa hayupo mkuu...vuta pumzi pdf zimeanza kuachiwaYan PDF ina majina 36 tu, usahili walifanya tarehe 13 mwez wa 8 limetoka Leo 25 mwez wa 9, je hao afya waliopo ef 9 na kitu SI itakua NOVEMBER
november apo to tu au unazungumzia ya 2025Yan PDF ina majina 36 tu, usahili walifanya tarehe 13 mwez wa 8 limetoka Leo 25 mwez wa 9, je hao afya waliopo ef 9 na kitu SI itakua NOVEMBER