Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
Amina mkuuMpe Hongera.....Akawe Mtumishi mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina mkuuMpe Hongera.....Akawe Mtumishi mwema
Ulifanya usaili Lin huo wa pili,Wakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hongera Sana mkuuWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hongera sana mkongwe hakika nimerudi kwenye uzi na kukutana na taarifa njema.Wakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
duhh hongera sana mtumishi mpyaWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hongera sana ChiefWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hongera sana mkuu...Wakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Mzee wa status..hongera sanaWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Kaka Hongera sana sana.Wakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Mzee steling najua now unakaribia miezi 6 sasa.Hongera sana mkongwe hakika nimerudi kwenye uzi na kukutana na taarifa njema.
#Hakuna kukata tamaa wadau wa huu uzi.
Hongera mwamba.
Injinia siku yako ipo na unakuja uzuri katibu ameanza kusaini mikeka .si ndo hapo sasa yaan tunacheleweshana maisha tu wenzetu washafika kwenye renta [emoji1787] [emoji1787]
Bugando imezoa leoInjinia siku yako ipo na unakuja uzuri katibu ameanza kusaini mikeka .
Mimi nimefanya juzi hii ta afya ila kwenye Pdf ya leo database yetu wamekomba mafuriko Mimi sijajiona.
Ngoja niendee kusubiri.
JKCI.
MOI.
MNH.
KCMC.
Au hata halmshauri wanaweza wakanikumbuka.
BUGANDO imenikosa ya leo
Mimi nina oral 2.Bugando imezoa leo
Kuna mdau aliwauliza mkeka lini huko Facebook wakajibu kabla ya mwez wa 10 kuisha wanatoa mkekaMimi nina oral 2.
Oral ya kwanza nilifanya tar 17/8 hadi leo wameita kazini BUGANDO wamechukua leo na wanachukua sana .
Oral ya pili ni hizi za wiki iliyopita.
Kwa sasa natamani nipate kazi yoyote itakayokuja tu.
Hongera kaka asee shuhuda kama hizi tulikua tumezimiss sana ani🤤🤤naomba kesho watoe zaidi ya tatu, ila naamini nasi tupo njiani dadeq🤗Wakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
🤣🤣 Ujobless umeanza kukunyooosha kama sisi hapo😅😅Mpaka TuthemeeeeMimi nina oral 2.
Oral ya kwanza nilifanya tar 17/8 hadi leo wameita kazini BUGANDO wamechukua leo na wanachukua sana .
Oral ya pili ni hizi za wiki iliyopita.
Kwa sasa natamani nipate kazi yoyote itakayokuja tu.
muhimbili nao wanaweza wakazoa muda wowote.ila halmashauri wakianza kuzoa hapo ni uhakikaInjinia siku yako ipo na unakuja uzuri katibu ameanza kusaini mikeka .
Mimi nimefanya juzi hii ta afya ila kwenye Pdf ya leo database yetu wamekomba mafuriko Mimi sijajiona.
Ngoja niendee kusubiri.
JKCI.
MOI.
MNH.
KCMC.
Au hata halmshauri wanaweza wakanikumbuka.
BUGANDO imenikosa ya leo
Hapo ni LGA kabisa...Mpimbwe😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Daah mimi nina oral mbili japo ya kwanza nakumbuka sikujibu vizuri japo kastatus hakajabadilika na ilikua MDAs & LGAs, na ya pili ni ya Litaasisi furani hivi linono, sasa nina mashaka na kale ka usaili ka kwanza kanaweza nichania mkeka wa Litaasisi lenye Marumaru za kidhungu dhungu,
NB. Toka nifanye oral ya MDAs. & LGAs ni toka mwezi wa pili tarehe 20 hadi leo status iko vile vile sasa sijui ndo database, japo nakumbuka nilijibu jibu mpaka nikatoka najidharau furani hivi😁😁YANGU NI HAYO KWA LEO, LABDA TUSUBILIE NA KESHO NITAKUJA NA LIPI, USISHANGAE LILE LITAASISI LENYE MARUMARU ZA KIDHUNGU LIKAITIKA HIYO KESHOOO🤔🤔🤣