Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Ilikuaje bossNdo nimetoka,ndo nimetoka huko ndani Asha Rose Migiro kikaangoni.
Aiseeee ni hatariiii.
😂😂😂Tupe experience mzee wamekukandajeNdo nimetoka,ndo nimetoka huko ndani Asha Rose Migiro kikaangoni.
Aiseeee ni hatariiii.
Subiri shortlist,mzuka utakuja wa kusoma, sasa endelea kukusanya material uyaweka standbyNmeghairi kusoma mana nasoma hadi nasahau
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jobless mwenzangu kila siku unaniwahi nakuni overtake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unanionea sana kwenye hizi harakati za utelezi [emoji1787][emoji1787] mwanasheria umembeba na mhasibu naye ndugu yangu tugawane basi
😂😂😂😂Hii huwa naitumia Yani nakusanya material yote afu natulia siku nikiliamsha nahakikisha zimeisha zote afu naawacha sasa tukakandaneSubiri shortlist,mzuka utakuja wa kusoma, sasa endelea kukusanya material uyaweka standby
😂😂😂😂 meck pro anatafuta utelezi kwa bidii sana hahhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jana, leo na siku zote mkuuWazee wa placement mpooooo
😂😂😂😂Tupo hapo ongezea na wazee wa status ya my applicationWazee wa placement mpooooo
Unatutia moyo sasa tuliokandwa janaHapo naona wattoa pamoja na hizi saili za NAOT na HELSB
😂😂😂😂Nyie bado sana mzee mpaka status zibadillike kuta selected for ora kwenda shortlisted tena zirudi selected for oral ndo zirudi shortlisted tena sio leo aseehUnatutia moyo sasa tuliokandwa jana
Sawa mkuuSubiri shortlist,mzuka utakuja wa kusoma, sasa endelea kukusanya material uyaweka standby
Mkuu ni ujanja wako tu kuwajibu wale watu.Lakini pia uwe mfuatiliaji wa mambo.Kuna maswali si ya kusoma kwenye website za hizi kazi ni uelewa wako tu.[emoji23][emoji23][emoji23]Tupe experience mzee wamekukandaje
Inahitaji uwe mjanja mjanja mkuu.Maswali 6Ilikuaje boss
Mle ndani ukitoka huelewi yani kilichotokea😂😂😂😂😂Mkuu ni ujanja wako tu kuwajibu wale watu.Lakini pia uwe mfuatiliaji wa mambo.Kuna maswali si ya kusoma kwenye website za hizi kazi ni uelewa wako tu.
Kwa mfano unaulizwa AS A LOAN OFFICER WHAT WILL YOU DO TO AVOID STRIKE IN UNIVERSITIES? sasa hili unasoma wapi kwa mfano.
Me nimepambana kwa kadri navyoweza kuawaelekeza.
Ila mle ndani huwezi toka ukiwa na amani na kinachotakiwa ni kukubaliana na kitakachotokea.
Tuombe Mungu
Ujanja muhimu sana pale😂😂😂Kuna wakati inabidi uwayumbishe wakufate unavyotakaInahitaji uwe mjanja mjanja mkuu.Maswali 6
Jiandae na ways of disseminating statistical informations or research findingsSTATISTICIAN II.
DUTIES AND RESPONSIBILITIES.
1/. To design and develop National statistical system.
2/. To construct statistical procedures general and Sampling statistical system.
3/.To collect, analyse and dissemination statistical information at upper levels.
4/.To do other works assigned by supervisors.
Kabisaaa mkuuUjanja muhimu sana pale[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wakati inabidi uwayumbishe wakufate unavyotaka
Hahahahaa, Prok kashasema yeye ni mweupe kwa mbali maana jua lilikuwa linamchakaza hadi anakuwa mweusi na alisema atabeba mwavuli ili akajikinge.
Kama muda huu SIJIELEWI hahahaaaaa, nachoshukuru nimepata gari private kaliiii na jamaa anakimbia balaa,hata sijali maana mle ndani daaah Mungu yupo.Mle ndani ukitoka huelewi yani kilichotokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]