Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Nimeshakuona kumbe MD mtoto wa 2021 unataka kujifanya afisa kipenyo wa psrs.Weka akiba ya maneno mkuu,,,,unauliza wewe nani? Soma id yangu.
watu wanavyochomoka kwenye database mpaka unajiuliza au nilikua wa mwisho nini.🤣🤣🤣Mwaka una kimavi database mm ndo nilikuwa naitegemea kuliko hata hii ya juzi direct.
Pdf ya tar 25 nimeona wamechomoa bugando watu 20 kutoka pdf yangu mpaka nimeshangaa.
Uwa unajiuliza nimepata ngapi?
Ila shida hata wadau wangu kama 5 hakuna aliyeitwa japo wote tumepiga tena oral ya juzi
Hilo tayari walishaeleza kuwa mwezi wa 10 watatoa, maana kelele zimekuwa ni nyingi. Swali ni Je watatoa kabla au baada ya usaili wa walimu?Wakuu mkeka wa afya ni soon
Na hivi imekuja hii ishu ya walimu na afya hizi received za may na june tutaitwa mwakani.Sina uhakika kama ni hao tu. Binafsi nina received za mwezi wa tano na mwezi wa sita hadi leo kimya. Fikiria unasubiri kuitwa tu interview zaidi ya miezi mitano. Huo ndio ucheleweshaji wa mchakato wa ajira. Yaani hadi unasahau.
Zege halilali, tutaitwa tena kwa mkupuo, yaani taasisi zaidi ya tano mnaweza kuitwa kwa pamoja kufanya usaili. Sasa hivi wanamalizana na Halmashauri kisha walimu, baada ya hapo ni bandika bandua. Mwezi wa 11 hauishiNa hivi imekuja hii ishu ya walimu na afya hizi received za may na june tutaitwa mwakani.
Mimi ndo uwa najiulizaga ila nikionaga nina wadau wengi basi najiona sikupotea.watu wanavyochomoka kwenye database mpaka unajiuliza au nilikua wa mwisho nini.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hhaaa.Zege halilali, tutaitwa tena kwa mkupuo, yaani taasisi zaidi ya tano mnaweza kuitwa kwa pamoja kufanya usaili. Sasa hivi wanamalizana na Halmashauri kisha walimu, baada ya hapo ni bandika bandua. Mwezi wa 11 hauishi
Wamalizane tu na watu wao tupige hizo interview tuwaze mambo mengine.Zege halilali, tutaitwa tena kwa mkupuo, yaani taasisi zaidi ya tano mnaweza kuitwa kwa pamoja kufanya usaili. Sasa hivi wanamalizana na Halmashauri kisha walimu, baada ya hapo ni bandika bandua. Mwezi wa 11 hauishi
Waombaji wa ajira wamekuwa wengi. Kila mwaka wahitimu wanaingia mtaaniMimi ndo uwa najiulizaga ila nikionaga nina wadau wengi basi najiona sikupotea.
Ila kwa stage ya sasa kupata kazi kama muujiza kuliko uhalisia wenyewe.
Walimu kwanza utumishi wamechanganyikiwa laki 2 sio issue NDOGO...Na hivi imekuja hii ishu ya walimu na afya hizi received za may na june tutaitwa mwakani.
Sasa unajiuliza kwanini wanaweka database ambayo wanajua hawataimalizaWaombaji wa ajira wamekuwa wengi. Kila mwaka wahitimu wanaingia mtaani
tutakoma aisee ndio maana baadhi ya waajiriwa wakifanikiwa kupenya wanakua mamafia..Hawajali mkuu Tyr washamueka mtu akilini wanajua ni yeye alfu wataitwa interview geresha
Ila mm nikiajiriwa lazima nikope jamani.tutakoma aisee ndio maana baadhi ya waajiriwa wakifanikiwa kupenya wanakua mamafia..
utumishi wanaweza kukuambia matokeo kesho subiria sasa hio keshoHilo tayari walishaeleza kuwa mwezi wa 10 watatoa, maana kelele zimekuwa ni nyingi. Swali ni Je watatoa kabla au baada ya usaili wa walimu?
Ukishapata tu check no. maafisa mikopo benki wanakuwa marafiki zako.Ila mm nikiajiriwa lazima nikope jamani.
Umri unaenda
Mimi haraka haraka navuta 10m sitaki mtu anishauri.Ukishapata tu check no. maafisa mikopo benki wanakuwa marafiki zako.
ni mwendo wa kufumua vyuku tu plus mtelezo 🤣 🤣 🤣Mimi haraka haraka navuta 10m sitaki mtu anishauri.
Nimeteseka sana mtaani
Nawekeza kaka hata na biashara na kuniingizia Buku 10 per dayni mwendo wa kufumua vyuku tu plus mtelezo [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Angalia kuna UTI sugu mtaani Afisa.ni mwendo wa kufumua vyuku tu plus mtelezo 🤣 🤣 🤣
Mshahara ni addiction, kabla ya kupata pesa mipango tele ukipata unakesha baa. Hizi pesa za udalali nimeshindwa kufanya la maana, nikiajiriwa si nitakuwa nalala na kuamkia baa kisha kituo cha kaziNawekeza kaka hata na biashara na kuniingizia Buku 10 per day