Mfilisiti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 396
- 1,958
Hakika katika programmer 5 nawe ni miongoni mwao watakao chukua barua Asha Rose Migiro. sema sasa kuwaita watu interview kimekua ni kipengeleProgrammer/system developer mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika katika programmer 5 nawe ni miongoni mwao watakao chukua barua Asha Rose Migiro. sema sasa kuwaita watu interview kimekua ni kipengeleProgrammer/system developer mkuu.
"Afisa Tehama TCRA kuna asali wa nyuki wakubwa" although eGA na TAA nao sio wakuwachukulia poa. Vipi TCRA na eGA umeomba category ipi mkuu
Hakika katika programmer 5 nawe ni miongoni mwao watakao chukua barua Asha Rose Migiro. sema sasa kuwaita watu interview kimekua ni kipengele
TAA pale mtu kukunja 4M nikitu cha kawaida, hapo namzungumzia degree holderKuna jamaa alitutanguliaga kumaliza chuo sasahv yuko pale TAA kapanga appertment masaki alafu ukimuona ngozi kama anapaka blueband vile yule ata akioga asipopaka mafuta apauki.. 😂😂😂
Asante sana, sema sasa msimu wa kilimo umewadia watu tunataka kwenda mashambani, Newala sasa hivi kuna furusa ya kubeba Magunia ya korosho😂. Ukimwona jobless yeyote amekua mkali kwa PSRS kwenye huu uzi jaribuni kumuelewa tuAmina mkuu. Izi barka ziludi na kwako mpambanaji mwenzangu kokote ulipolusha karata yako milango ya baraka ikafunguke
Asante sana, sema sasa msimu wa kilimo umewadia watu tunataka kwenda mashambani, Newala sasa hivi kuna furusa ya kubeba Magunia ya korosho😂. Ukimwona jobless yeyote amekua mkali kwa PSRS kwenye huu uzi jaribuni kumuelewa tu
Watu wanao pitia joto la ajira kwa kipindi kirefu wakija kupata wengi huwa wanatoboa maisha zaidi maana maarifa yao huwa yamefunguka kwa viwango vya juu sana
TAA pale mtu kukunja 4M nikitu cha kawaida, hapo namzungumzia degree holder
january ni interview sio kuitwa kaziniWalimu kuitwa kazini wategemee kuanzia January maana interview yenyewe haijulikani ni lini ila mwaka huu wasahau kabisa, jamani walimu kuweni na subira tu mambo yashaharibika ila binafsi naona TAMISEMI walikuwa vizuri sana
Hapo mpaka Jumanne.kimoja kimezima
J4? Nimerukia tren Kwa mbele nieleweshe plzHapo mpaka Jumanne.
Pdf kama haijatoka leo mpaka J4..J4? Nimerukia tren Kwa mbele nieleweshe plz
Ya afya au ?Pdf kama haijatoka leo mpaka J4..
Au sababu j3 Nyerere day?Pdf kama haijatoka leo mpaka J4..
Hilo ndo jibu kama katibu Hajafanya kazi ijumaa tusitarajie muujiza j3..Au sababu j3 Nyerere day?