Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

"Afisa Tehama TCRA kuna asali wa nyuki wakubwa" although eGA na TAA nao sio wakuwachukulia poa. Vipi TCRA na eGA umeomba category ipi mkuu

Kuna jamaa alitutanguliaga kumaliza chuo sasahv yuko pale TAA kapanga appertment masaki alafu ukimuona ngozi kama anapaka blueband vile yule ata akioga asipopaka mafuta apauki.. 😂😂😂
 
Kuna jamaa alitutanguliaga kumaliza chuo sasahv yuko pale TAA kapanga appertment masaki alafu ukimuona ngozi kama anapaka blueband vile yule ata akioga asipopaka mafuta apauki.. 😂😂😂
TAA pale mtu kukunja 4M nikitu cha kawaida, hapo namzungumzia degree holder
 
Amina mkuu. Izi barka ziludi na kwako mpambanaji mwenzangu kokote ulipolusha karata yako milango ya baraka ikafunguke
Asante sana, sema sasa msimu wa kilimo umewadia watu tunataka kwenda mashambani, Newala sasa hivi kuna furusa ya kubeba Magunia ya korosho😂. Ukimwona jobless yeyote amekua mkali kwa PSRS kwenye huu uzi jaribuni kumuelewa tu
 
Akipata ajira ndani ya mwaka mmoja utafikili ame make zaidi ya miaka 10 , sasa wale wa giri la mkono huwa hafi kwenye daladala utasiki mimi nikisitafu nitanunua mashamba mala viwanja mala tracker za kilimo😳😳 alafu wanacho kisema hata wana exprience nacho yaani hadi unacheka eti mtu hadi astafu ndo awekeze rooh
 
Asante sana, sema sasa msimu wa kilimo umewadia watu tunataka kwenda mashambani, Newala sasa hivi kuna furusa ya kubeba Magunia ya korosho😂. Ukimwona jobless yeyote amekua mkali kwa PSRS kwenye huu uzi jaribuni kumuelewa tu

😂😂😂 mwisho mtu unaitwa kazini inabid uende shortcourse ya computer maana unajikuta mpka mouse umesaau namna ya kuishika.
 
Walimu kuitwa kazini wategemee kuanzia January maana interview yenyewe haijulikani ni lini ila mwaka huu wasahau kabisa, jamani walimu kuweni na subira tu mambo yashaharibika ila binafsi naona TAMISEMI walikuwa vizuri sana
 
Watu wanao pitia joto la ajira kwa kipindi kirefu wakija kupata wengi huwa wanatoboa maisha zaidi maana maarifa yao huwa yamefunguka kwa viwango vya juu sana

Hii ni kweli, kwanza uwa wanajua sehemu za kufanya investment yaan hata akipata kiela kidogo anajua wapi akikiweka kitamzungushia.

Ww angaliafano waalimu waliokaa bench sana wakipata ajira awalembeshi mara ubuyu, mara ice-cream mara wanauza pencil.
😂😂
 
Walimu kuitwa kazini wategemee kuanzia January maana interview yenyewe haijulikani ni lini ila mwaka huu wasahau kabisa, jamani walimu kuweni na subira tu mambo yashaharibika ila binafsi naona TAMISEMI walikuwa vizuri sana
january ni interview sio kuitwa kazini
 
Back
Top Bottom