El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
msabato uyo 🤣 🤣 🤣Mbaga 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msabato uyo 🤣 🤣 🤣Mbaga 😂 😂
yeye hataki watu walalamike kuhusu pdf anataka wamwombe mungu huyu ndo mcha mungu wa kweli sasa🤣🤣Mbaga 😂 😂
Mbaga msabato anafurahisha sana.yeye hataki watu walalamike kuhusu pdf anataka wamwombe mungu huyu ndo mcha mungu wa kweli sasa[emoji1787][emoji1787]
Wasabato Wanaka Dunia kao yani wabishi sasa umkute ni muha au mjita wee...alafu mekumbuka mbali sana advance ijumaa ndo ilikuwa siku ya usafi so wasabato walikuwa wanatakiwa wafanye usafi mapema kabla ya sabato aisee Kwa ubishi huwawezi..watasingizia sabato Ili wasifanye usafimsabato uyo 🤣 🤣 🤣
Hawawez tangaza si wanachukua wa mtakae database mkuu ndio maana mnashauriwa kuhudhulia tukuna mtu kafariki lakini utashangaa nafasi haitangazwi
Labda atakuwa ndo psrs mwenyeweyeye hataki watu walalamike kuhusu pdf anataka wamwombe mungu huyu ndo mcha mungu wa kweli sasa🤣🤣
huyo ni mwenzetu asilimia 100Labda atakuwa ndo psrs mwenyewe
Sasa kwa kale kamkeka ka Tanapa mtu asilalamike.Labda atakuwa ndo psrs mwenyewe
Alishangiliaga sana swala la watu wa afya na ualimu kufanyiwa interviewhuyo ni mwenzetu asilimia 100
Hata Mungu mwenyew anatushangaa kazi tunampa ambazo sio zakeyeye hataki watu walalamike kuhusu pdf anataka wamwombe mungu huyu ndo mcha mungu wa kweli sasa🤣🤣
Tunaposema enzi zetu uzi ulikuwa bora, wenye kutia matumaini, hamasa, faraja ilikuwa namna hii.
Hiyo comment itabaki kuwa comment bora zaidi kuliko zote nilizowahi kupost kwenye huu uzi
Finally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
huko mitandaoni walimu wamesimamisha mikia wako moto halafu uwapelekee sera za kumwomba mungu si anatafuta kurogwa huyu 🤣 🤣Mbaga msabato anafurahisha sana.
Walimu wako wengi jamani wameanza kuwasha moto mitandaoni.huko mitandaoni walimu wamesimamisha mikia wako moto halafu uwapelekee sera za kumwomba mungu si anatafuta kurogwa huyu [emoji1787] [emoji1787]
Mimi database siiamini bhnaNilikuwa na matumaini makubwa sana na Data base now ni zaidi ya mwaka hakuna kitu.
Sawa Hatukatai kama haiamini ila ndo imewapa watu kazi.Mimi database siiamini bhna