Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

msabato uyo 🤣 🤣 🤣
Wasabato Wanaka Dunia kao yani wabishi sasa umkute ni muha au mjita wee...alafu mekumbuka mbali sana advance ijumaa ndo ilikuwa siku ya usafi so wasabato walikuwa wanatakiwa wafanye usafi mapema kabla ya sabato aisee Kwa ubishi huwawezi..watasingizia sabato Ili wasifanye usafi
 
Tunaposema enzi zetu uzi ulikuwa bora, wenye kutia matumaini, hamasa, faraja ilikuwa namna hii.

Hiyo comment itabaki kuwa comment bora zaidi kuliko zote nilizowahi kupost kwenye huu uzi

Mungu
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!

Mungu anisaidie na mimi siku moja nije andika history kama hii.
 
Wakuu ,,,
Ila Tusiache Kumwamini na Mshukuru Mungu.
Kama unahisi Hauna mjomba serikalini wala shangazi wizaranj babu wa Ndumba.

Hata Ukinuna na kutoboa Pdf haitabadilisha uhalisia wa Maisha ni bahati na token yako iko sema ni ngumu kujua lini itawasili na kutokea.

Kinachotokea ni mapito na sehemu ya maisha husika.

Tuendelee kumwamini sana Mungu.
 
Back
Top Bottom