Ana hoja asikilizwe
Jobless mmenda kanisani lakini? π
Kabsa mkuu na mda mwingine tukikosa hatutakiwi kutoa lawama, maana tunajua tunapofeliπ€¨Week ya kuitwa interview ndo tunakumbukaga kanisani na mfungo wa siku tatu na haadi nyinyi kua mungu ukinivusha hapa nitakufanyia iv.. Nitafanya iv..ππ
Mungu angekua na kisasi kama binadamu hakuna ambae angetoboa aisee.
Kabsa mkuu na mda mwingine tukikosa hatutakiwi kutoa lawama, maana tunajua tunapofeliπ€¨
π€£Sawaa lakini ukipendwa, PendekaaaKabisaa yaan kuna mda unakua kama vile unajifanya kumpanga mungu ili akamilishe jambo lako iv.
Ila sema ndo ivyo mungu atupi kwakua ss ni watakatifu au ni mwema sanaaa ila anatufanikisha kwa sababu anatupenda.
Utumishi wapo wanakunywa supu nowHizi public holidays kwetu jobless ni kikwazo, tunaomba PSRS mtuite tufanye usaili, pia waliopo kwenye kanzidata waiteni kazini basi. Acheni unazi, dunia ni kijiji tutakutana mtaani. Cheers
Public holidays Sio kikwazo mana ht siku za kazi hua hawafanyi chcht cha kutufurahishaHizi public holidays kwetu jobless ni kikwazo, tunaomba PSRS mtuite tufanye usaili, pia waliopo kwenye kanzidata waiteni kazini basi. Acheni unazi, dunia ni kijiji tutakutana mtaani. Cheers
Mmh naomba kazi basiMafanikio yamejificha kwenye muda, ni hivi uamini usiamini ipo siku utapokea habari njema sana na the rest will be the story.
Ni kuzidi kumtumaini Mungu na ukiona unasababu ya kukata tamaa jipe moyo wa kupambana zIdi maana haupo mbali kufanikiwa.
Hatimaye ulipata wapi? Hongera kwa kutuachia uzi maarufuWanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Mnadanganyana! Kwenye tangazo walisema scale ya mshahara ni ipi?TAA pale mtu kukunja 4M nikitu cha kawaida, hapo namzungumzia degree holder
Utumishi wapo wanakunywa supu now
ππYa kuku wa kienyeji wakishushia na kaserengeti bariid..
Uku anafuta kioo cha simu kupitia kitambi. ππ