Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
Endelea kuandaa nauliHapo ni kuwa wapole tu zamu ya walimu kunyolewa wengine zetu tutie maji tu.. vilio vingi vitasikika kutoka pande mbalimbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuandaa nauliHapo ni kuwa wapole tu zamu ya walimu kunyolewa wengine zetu tutie maji tu.. vilio vingi vitasikika kutoka pande mbalimbali
Ndivyo inavyofanyika, wanaanza kuweka kwenye portal alafu pdf baadae...Sijawahi ona kitu kama hiki kabla
Huwa ndio wanafanya hivyo waki shortlist leo kesho yake PDF la interview linafataSijawahi ona kitu kama hiki kabla
Huwa ndio wanafanya hivyo waki shortlist leo kesho yake PDF la interview linafata
Ndivyo inavyofanyika, wanaanza kuweka kwenye portal alafu pdf baadae...
Hata matokeo ni hivyo hivyo
Bc mm hua naona kwa kuchelewa ikiwa tayar imepostiwa hadi pdf yake.Mmmh we jamaa mbona inakuwa hivyo siku mingi tu
Naomba screenshot
Naomba screenshot
Hii grade A/|||A cerficate n nn?
Cheti Cha chuo hicho(academic)Hii grade A/|||A cerficate n nn?
Mbona kama majanga naanza kuyaona.
Duh nikajua nshayakanyaga sjui kama nngeeleweka 😂Cheti Cha chuo hicho(academic)
Kwahy huyo jamaa hapo juu kwenye screenshot hakuweka cheti 😂 hii ni maajabuCheti Cha chuo hicho(academic)
Kwa Nini mkuu😁Duh nikajua nshayakanyaga sjui kama nngeeleweka 😂
Kuna kusahaauKwahy huyo jamaa hapo juu kwenye screenshot hakuweka cheti 😂 hii ni maajabu
Bado iko receivedMbona wengine status hazijabadirika?
Hii dunia, kuna watu wana VICHWA vigumu sana 😀😀Kwahy huyo jamaa hapo juu kwenye screenshot hakuweka cheti 😂 hii ni maajabu
Kuna mtu nmemuombea, sasa alivyo na hamu ya hii kazi aisee asingenielewa nikimwambia kuna kitu hatukuweka mana alikuwa ananitegemea kwenye kila kitu mana mhusika yupo kijijini huko hvy access ya internet n changamoto.Kwa Nini mkuu😁
Ndiyo mkuuBado iko received
Hawajamaliza Ku update mfumo.Mbona wengine status hazijabadirika?
Bc mm hua naona kwa kuchelewa ikiwa tayar imepostiwa hadi pdf yake.
Kuna mtu nmemuombea ila kwenye akaunti yake hakuna kitu mpaka sasa, nawaza isije ikawa imefeli
View attachment 3125138mkuu na ww unakosea sana aisee duh