Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huwa ndio wanafanya hivyo waki shortlist leo kesho yake PDF la interview linafata
Ndivyo inavyofanyika, wanaanza kuweka kwenye portal alafu pdf baadae...
Hata matokeo ni hivyo hivyo
Mmmh we jamaa mbona inakuwa hivyo siku mingi tu
Bc mm hua naona kwa kuchelewa ikiwa tayar imepostiwa hadi pdf yake.

Kuna mtu nmemuombea ila kwenye akaunti yake hakuna kitu mpaka sasa, nawaza isije ikawa imefeli

Screenshot_20241014-224419.png
 
Kwa Nini mkuu😁
Kuna mtu nmemuombea, sasa alivyo na hamu ya hii kazi aisee asingenielewa nikimwambia kuna kitu hatukuweka mana alikuwa ananitegemea kwenye kila kitu mana mhusika yupo kijijini huko hvy access ya internet n changamoto.
 
Manga kweli wear ni msababato jamaa mbishi sana.

Ajira za afya walitoa kwa acc baadae wakatoa kwa PDf kesho yake.

Walimu nao wametoa kwa acc pdf zinafuata baadae kesho
 
Back
Top Bottom