Wap nmekosea mkuu
Kwa hyo zinabadilika kwa awamuHawajamaliza Ku update mfumo.
Sawa let's wait and seeHawajamaliza Ku update mfumo.
Nikikumbuka hizi ajira za afya, nime hustle sana πππManga kweli wear ni msababato jamaa mbishi sana.
Ajira za afya walitoa kwa acc baadae wakatoa kwa PDf kesho yake.
Walimu nao wametoa kwa acc pdf zinafuata baadae kesho
Izo za tutorial assistant naona wrong application letterWap nmekosea mkuu
Ni woteIt look like wameanza na watu wa certificate yan Daraja la III C
nadhan hao ndo wapo kikaangon kwa sasa
sio wote ni daraj la III A angalia hiiNi wote
Hizo nshawah kuzileta humu jukwaani, hizo n application za mshikaji wangu nmemfanyia sasa nilimwambia aandike barua afu anitumie kwa sms ili nifanye copy and paste ila akakosea kwenye sanduku la posta na Mm sikuzingatia hapo ndio ikawa shida.Izo za tutorial assistant naona wrong application letter
Saivi ni karibia wote 111B na 111C wengine taarisio wote ni daraj la III A angalia hiiView attachment 3125162
OkSaivi ni karibia wote 111B na 111C wengine taari
Kwangu 3C naona bado n receivedSaivi ni karibia wote 111B na 111C wengine taari
Itakuwa bado mkuu wanaendelea ku_updateKwangu 3C naona bado n received
Ungepaotea hapo mwisho kabisa ingekua unyamaNikikumbuka hizi ajira za afya, nime hustle sana πππ
View attachment 3125160
Kwahy mkuu, una received ya tangu 2019 bado ipo received tuu?Nikikumbuka hizi ajira za afya, nime hustle sana πππ
View attachment 3125160
Kwahy mkuu, una received ya tangu 2019 bado ipo received tuu?
Sana mkuu, Pana mpunga mrefu + na mulupu lupu ya maana..Ungepaotea hapo mwisho kabisa ingekua unyama
Ndiyo mkuu. ππ, UTUMISHI ni watu wa ajabu sana Aise...Kwahy mkuu, una received ya tangu 2019 bado ipo received tuu?
Duu pole MkuuuHizo nshawah kuzileta humu jukwaani, hizo n application za mshikaji wangu nmemfanyia sasa nilimwambia aandike barua afu anitumie kwa sms ili nifanye copy and paste ila akakosea kwenye sanduku la posta na Mm sikuzingatia hapo ndio ikawa shida.