Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Izo za tutorial assistant naona wrong application letter
Hizo nshawah kuzileta humu jukwaani, hizo n application za mshikaji wangu nmemfanyia sasa nilimwambia aandike barua afu anitumie kwa sms ili nifanye copy and paste ila akakosea kwenye sanduku la posta na Mm sikuzingatia hapo ndio ikawa shida.
 
Hizo nshawah kuzileta humu jukwaani, hizo n application za mshikaji wangu nmemfanyia sasa nilimwambia aandike barua afu anitumie kwa sms ili nifanye copy and paste ila akakosea kwenye sanduku la posta na Mm sikuzingatia hapo ndio ikawa shida.
Duu pole Mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…