Mwanjangle
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 294
- 331
πππAfu afya ukiingia sehemu ya my application, wanasema you haven't applied for any vacancy wakat watu amepiga adi oralWewe na mm Hatuna kazi kwanini tuchoke
Nilileta sample, kuna member alikuwa anahitaji ushahidi kama shortlisted zimetokaCheti cha Chuo hakikupigwa mhuri wa mwansheria au Hakimu.
Ila kama ulipiga mhuri wapigie simu au nenda Ofisini kwao watakuongeza kwwnye orodha.
Hiyo hapo pdf ya leo. Bado ya moto. Haya leta ushuhudaPdf wamekumbwa na nini jamani Hawaiiti tena watu kazini?
Pdf za afya zimezinduliwa leo!! bila shaka zitaendelea mfululizo hadi mwisho wa mwaka kutegemea waajiri mbalimbali wanavyokuwa taari kuwapokea waajiriwa wapyaHiyo hapo pdf ya leo. Bado ya moto. Haya leta ushuhuda
Mtafutaji hachoki...akichoka kapataHv hua hamchoki kuuliza hivi?
Hongera Sana kwaoNna classmate wangu wawili apo wamelamba asali,
Relax bro nadhani wote account zetu zimekua hivo ila huko mbele zitafunguka tu hamna hata haja ya kuforget passwordMsaada, kuna mtu kaniambia nimsaidie kuangalia majina ya usaili sijui, yeye ni mwalimu, kanipa email na password ya email, najaribu kuforgot password naambiwa email not found Kweny system ya ajira portal kasema. Nikiingia direct nakuta ujumbe 'under maintenance '
Wameshaanza kuvunja vunja pdf, naskia hizo ni za afya kati ya zile zilizofanywa mwezi wa 9Kada ya afya, nazan safari imeanza tutegemee PDF nyingine zikifuata
Nna classmate wangu wawili apo wamelamba asali,
Sahili za juzi , sijajua wametumia vigezo gan ,mana Kuna mmoja nmewasiliana nae kasema ana interview hio hio tu ya mwezi wa 9Kanzi data au sahili za juzi
Bc hao n wale waliopasua vzr zaidSahili za juzi , sijajua wametumia vigezo gan ,mana Kuna mmoja nmewasiliana nae kasema ana interview hio hio tu ya mwezi wa 9
Wale wa afya wakae mkao wa kula tangu sasa hadi mwisho wa mwaka! Bila shaka pdf zitafululiza! Naona MDA ndo wametangulia, bila shaka LGA nao watafuatia!!Wameshaanza kuvunja vunja pdf, naskia hizo ni za afya kati ya zile zilizofanywa mwezi wa 9
Hatari sanaBc hao n wale waliopasua vzr zaid