Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 704
- 2,842
vp unakufa au🤣🤣🤣
Sahihii kabisa,Tumekalili vibaya.....
Pitia vinzuri mikeka...
Pitia vinzuri kanuni zao Utumishi utagundua kitu
UTUMISHI hawana ubaguzi huo ....
Kuna Taasisi tamu hata hao vipanga hawapo ukisoma Tangazo lao la ajira Taasisi utashika kichwa(wanachotaka wao Uwajibikaji )
Kweli watuambie sio kututangazia ma vacancies bila kuita interview Sasa sijui wanapiga nazo picha.Hivi huko utumishi nini kimewakuta jamani, maana hata kuita tu usaili wa taasisi mbalimbali imekuwa ni mwendo wa kobe. Tufanyaje sasa ili wachangamshe michakato hiyo. Mbona juzi juzi tu waliita halmashari mbalimbali kwa fujo?!!!
Kama hizo ajira mpaka mwakani watuambie, wengine tupo na mipango ya kuvuka boda kutafuta maisha nchi zingine aisee.
Hongera sana mkuu. Ukawe mtumishi mwema, na Mungu akutangulie kwenye majukumu yako mapyaMUNGU NI MWEMA NA MIMI NIMEPATA 🙌
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaMUNGU NI MWEMA NA MIMI NIMEPATA [emoji119]
Hivi huko utumishi nini kimewakuta jamani, maana hata kuita tu usaili wa taasisi mbalimbali imekuwa ni mwendo wa kobe. Tufanyaje sasa ili wachangamshe michakato hiyo. Mbona juzi juzi tu waliita halmashari mbalimbali kwa fujo?!!!
Kama hizo ajira mpaka mwakani watuambie, wengine tupo na mipango ya kuvuka boda kutafuta maisha nchi zingine aisee.
MUNGU NI MWEMA NA MIMI NIMEPATA 🙌
Ni kweli, tuendelee kuwa tu wapole. Nimefikisha RECEIVED 10 sasa. Nasikilizia hapa mpakani.Hawa jamaa PSRS kiukweli wanajahid sana sana ila sema sector hii ya ajira ni sehemu ambayo inachangamoto nyingi, tuweni wavumilivu ma jobless wenzangu..
Ni kweli, tuendelee kuwa tu wapole. Nimefikisha RECEIVED 10 sasa. Nasikilizia hapa mpakani.
TelecomSawa, endelea kuzikusanya na kupiga msuri ndugu yangu.
Ww ni kada gan?
Manga Jr mikeka ya Afya.Watu wa afya mliopo humu msipopata kazi safari hii aisee mjinyonge tuu [emoji91][emoji91]