Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera sana Utawala2025 , God is truly faithful kwakweli. Tumekuona humu in a while na kiukweli ulikuwa mmoja wa wanaoactivate hii thread. Kwa wengine tuliobaki, mbele tunaendelea. We keep on trying, praying and daring hata kama ni nafasi moja TU. Hakuna kinachodumu milele duniani, kila hali ni transitional tu. Our Master Author anaandika hadithi zetu kwa muda aonao ni sahihi, lets keep pressing on.
 
Tumekalili vibaya.....
Pitia vinzuri mikeka...
Pitia vinzuri kanuni zao Utumishi utagundua kitu
UTUMISHI hawana ubaguzi huo ....
Kuna Taasisi tamu hata hao vipanga hawapo ukisoma Tangazo lao la ajira Taasisi utashika kichwa(wanachotaka wao Uwajibikaji )
Sahihii kabisa,
 
Hivi huko utumishi nini kimewakuta jamani, maana hata kuita tu usaili wa taasisi mbalimbali imekuwa ni mwendo wa kobe. Tufanyaje sasa ili wachangamshe michakato hiyo. Mbona juzi juzi tu waliita halmashari mbalimbali kwa fujo?!!!

Kama hizo ajira mpaka mwakani watuambie, wengine tupo na mipango ya kuvuka boda kutafuta maisha nchi zingine aisee.
 
Hivi huko utumishi nini kimewakuta jamani, maana hata kuita tu usaili wa taasisi mbalimbali imekuwa ni mwendo wa kobe. Tufanyaje sasa ili wachangamshe michakato hiyo. Mbona juzi juzi tu waliita halmashari mbalimbali kwa fujo?!!!

Kama hizo ajira mpaka mwakani watuambie, wengine tupo na mipango ya kuvuka boda kutafuta maisha nchi zingine aisee.
Kweli watuambie sio kututangazia ma vacancies bila kuita interview Sasa sijui wanapiga nazo picha.

Yan waalimu wawashide na hata vi tassisi viwashinde kisaili dah .. hao jamaa ni hopeless
 
Wameshaachia pdf jingine. Leteni ushuhuda watu wa afya wa hizi kada

Environment Health Offier II
Assistant Environment Health Officer II
Nutrition Officer II
Health Laboratory Scientist II
Biomedical Engineer Technician II
Pharmacist II
 
Hivi huko utumishi nini kimewakuta jamani, maana hata kuita tu usaili wa taasisi mbalimbali imekuwa ni mwendo wa kobe. Tufanyaje sasa ili wachangamshe michakato hiyo. Mbona juzi juzi tu waliita halmashari mbalimbali kwa fujo?!!!

Kama hizo ajira mpaka mwakani watuambie, wengine tupo na mipango ya kuvuka boda kutafuta maisha nchi zingine aisee.

Hawa jamaa PSRS kiukweli wanajahid sana sana ila sema sector hii ya ajira ni sehemu ambayo inachangamoto nyingi, tuweni wavumilivu ma jobless wenzangu..
 
Hawa jamaa PSRS kiukweli wanajahid sana sana ila sema sector hii ya ajira ni sehemu ambayo inachangamoto nyingi, tuweni wavumilivu ma jobless wenzangu..
Ni kweli, tuendelee kuwa tu wapole. Nimefikisha RECEIVED 10 sasa. Nasikilizia hapa mpakani.
 
Mliolamba asali wote Hongereni sana. Tunafikiria kuwafanyia sherehe fupi ya kuwapa pole kwa sekeseke na kumshukuru Mungu kwa wema wake kwenu maeneo ya Iyumbu

See you in Doms guys.
 
Back
Top Bottom