Ngoja nipambane kwanza, hapa naiona safari ya usiku afu nipitilize moja kwa moja kwenye usailiYeah kama hivyo kulala lazima. Lodge ni 15K ila kaka kama katika cycle yako hamna mtu wa kukuazima 15K hiyo cycle vunja.
Day ya kwanza fika alfajiri kisha siku ya pili ya practical lala lodge. Ishu ni nauli au lodge?
Msabato visingizio vingi..nenda kalale stend pale...dodoma panda gar ya jion ufike night kali..asubuh amkia mzigonNiko Dar afu n safari ya kwenda Dodoma, sasa ht cjui naenda kulala wap, last time nilienda Kwa mshikaji wangu ambaye kwa sasa hayupo tena dom 😭
Pole sana mkuu, mimi siwezi kufanya kazi Government. Kwa sababu mpaka sasa na experience ya 6 years. Then nitoke nilipo then labda niende let say Tanesco nianze na salary ya 1.8M huku waliomaliza 2021 wanachukua zaidi ya hio then mimi niwe chini yao. Siwezi kukubali hicho kitu. Maana ukiajiriwa Serikalini hata uwe na experience ya Miaka 10 ya private sector wao wanakuchukulia kama fresh hicho kitu siwez kukikubali maisha yangu yote.Nilikua private kuanzia namaliza chuo. Lakini changamoto ni kwamba kwa kampuni na post niliyoishika ilikua nategemea mshahara kwa 100%.
Watoto, mke, wazazi na mimi mwenyewe ule mshahara ulikua hautoshi. Nipo kwenye kampuni kwa zaidi ya miaka miwili nikaamua nikasome ili sasa ama mshahara upande au niweze omba post zitakazoanza kulipa 2M kama takehome.
Nikajibiwa sisi tunajua tumemuajiri mtu aliyemaliza masomo hayo ya kutaka kwenda kusoma kampuni haisapoti. Mwaka Jana nilitaka kukopa 2M kwenye taasisi za fedha, siyo pesa nyingi kiasi hicho ule mlolongo niliokumbana nao wa ama gari au hati na pamoja na yote inabidi HR atie neno.
Nikafikiria nikaona nipambane na utumishi. Mungu mkubwa nikatoboa, washkaji zangu wakanicheka kwakua we all know nakuja kupokea peanuts huku lakini naamini in a long run kuna kitu nitafanya.
Pole sana mkuu, mm siwezi kufanya kazi Government. Kwa sababu mpaka sasa na experience ya 6 years. Then nitoke nilipo then labda niende let say Tanesco nianze na salary ya 1.8M huku waliomaliza 2021 wanachukua zaidi ya hio then mm niwe chini yao. Siwezi kukubali hicho kitu. Maana ukiariwa Serikalini hata uwe na experience ya Miaka 10 wao wanakuchukulia kama fresh hicho kitu siwez kukikubali maisha yangu yote.
Mshahara serikalini unaweza usiuuguse kabisa kwenye matumizi yako na harakati zako, kumbuka hilo pia😉Pole sana mkuu, mimi siwezi kufanya kazi Government. Kwa sababu mpaka sasa na experience ya 6 years. Then nitoke nilipo then labda niende let say Tanesco nianze na salary ya 1.8M huku waliomaliza 2021 wanachukua zaidi ya hio then mimi niwe chini yao. Siwezi kukubali hicho kitu. Maana ukiajiriwa Serikalini hata uwe na experience ya Miaka 10 ya private sector wao wanakuchukulia kama fresh hicho kitu siwez kukikubali maisha yangu yote.
Pole sana mkuu, endelea kupambana. Unaweza tenga miaka Yako 10 ya kufanya kazi kisha baada ya hapo ustaafu. Miaka hio igawanye kwa miaka mitano mitano.Upo sahihi nimefika nimeanza nyuma mno. In term of finance nilijua tu nitakua hovyo mpaka nije kusettle itachukua muda.
nilifanyaga ila kitambo hata maswali siyakumbuki ila lilikua gumu coz lilibez kwenye telecom alafu hakukua na practicalSikufanyaa kaka,kama ulifanya kaka basi umetoboaa hapa em ukuje hapa
Sio kwa mtu ambae ni fresh au officer ambae ndio anaajiriwa, at least uwe na uzoefu wakuwajua watu kwanza, napia inategemea upo mahala gani na kitengo gani, na kwa sasa mifumo kidogo imebanwa sio kama 2019 kushuka huko chini.Mshahara serikalini unaweza usiuuguse kabisa kwenye matumizi yako na harakati zako, kumbuka hilo pia😉
Peace bruvPole sana mkuu, endelea kupambana. Unaweza tenga miaka Yako 10 ya kufanya kazi kisha baada ya hapo ustaafu. Miaka hio igawanye kwa miaka mitano mitano.
Miaka mitano ya kwanza iwe kumaliza matatizo madogo madogo na kutafuta sehem nzuri yakukaa. Miaka mingine miatano iwe ya uwekezaji hasa katika kujiajiri kisha ukimaliza miaka 10 ufanye analysis uone kama Kuna huja yakuendelea na ajira au ukafanye mambo yako.
28 ni wachache sana mkuu, nenda kafanye usail ✍️✍️..Raia tupo 28 😭
Dah ht bado cjui nifanyeje 😭
Jibu linapaswa kuwa ni lile lile bila kujali ni private au serikalini. Iko hivi: Kila swali unaloulizwa kwenye usaili linalenga kupima vitu fulani. Usipojua swali uliloulizwa linapima nini ni lazima utaambulia patupu hata kama unadhani kuwa swali ni rahisi sana kama hili ulilotolea mfano (Tell us about yourself). Swali hili linalenga kupima namna ambavyo sifa zako na uzoefu wako unaenda sambamba na sifa na uzoefu unaohitajika kwenye kazi iliyotangazwa. (To what extent your qualifications and experience can be a perfect fit to requirementsTell us about yourself ukiulizwa private na serikalini naamini zinatakiwa kujibiwa tofauti kabisa.
Mfano private ukiwa unajibu hili swali kuna vitu haswa strengths zako unazionyesha but kwa serikalini hiyo ni kuwapotezea muda.
Kwa private waweza enda mfano "My name is Boom111 I am 34 years old, I graduated at JF University with a degree in Sociology in 1990. I have five years of experience as a shopkeeper at JF store since 1991 to date.
During my tenure at JF Store I have managed to increas the store's profit by 2% from the previous 0.12%. I have established the second branch in Kenya and I now oversee all operations of JF store.
I am currently open to other opportunities to challenge myself into expanding my career into sanitary business"
Ila ingekua serikalini ni unaishia tu pale kwenye since 1991 to date.
Labda kama huna vigezo nikukumbushe tu...Pole sana mkuu, mimi siwezi kufanya kazi Government. Kwa sababu mpaka sasa na experience ya 6 years. Then nitoke nilipo then labda niende let say Tanesco nianze na salary ya 1.8M huku waliomaliza 2021 wanachukua zaidi ya hio then mimi niwe chini yao. Siwezi kukubali hicho kitu. Maana ukiajiriwa Serikalini hata uwe na experience ya Miaka 10 ya private sector wao wanakuchukulia kama fresh hicho kitu siwez kukikubali maisha yangu yote.
Nakupa mfanoJibu linapaswa kuwa ni lile lile bila kujali ni private au serikalini. Iko hivi: Kila swali unaloulizwa kwenye usaili linalenga kupima vitu fulani. Usipojua swali uliloulizwa linapima nini ni lazima utaambulia patupu hata kama unadhani kuwa swali ni rahisi sana kama hili ulilotolea mfano (Tell us about yourself). Swali hili linalenga kupima namna ambavyo sifa zako na uzoefu wako unaenda sambamba na sifa na uzoefu unaohitajika kwenye kazi iliyotangazwa. (To what extent your qualifications and experience can be a perfect fit to requirements
🥲🥲🥲🥲nilifanyaga ila kitambo hata maswali siyakumbuki ila lilikua gumu coz lilibez kwenye telecom alafu hakukua na practical
1. Kwa nini uhatalishe nafasi ya boss wako?. Haliyakua boss wako anafanya kazi professional na wewe unafanya kazi professional?. Kama utataka kupeleka majungu juu Ili boss wako atimuliwe Ili uchukue nafasi wewe basi utatimuliwa haraka sana.Labda kama huna vigezo nikukumbushe tu...
1: Private unaweza kutimuliwa muda wowote boss akihis unahatarisha nafas yake
2: kupanda cheo na mshahara apo private ni mtihan sana
3: Majukum yako ya kazi hayaeleweki, kesho unaweza kuhamishiwa ata getini
Nimefanya kazi private nikafanikiwa kupata nyumba...lakin ukiwaza zaid unaona future hakuna
🤝 NakubaliMsabato visingizio vingi..nenda kalale stend pale...dodoma panda gar ya jion ufike night kali..asubuh amkia mzigon
ulisema huu mwaka unatuaga isijekua kweli 🤣 🤣🤝 Nakubali