Mkuu hii niliomba ndio ninaitegemea na nimejipanga sana nisipokuwa shortlisted italeta tamaa sanaRelax mkuu hamna ilo jambo
Mungu akusaidie usiache kwenda kwenye usaili ata siku moja
Kwa upande wa academic may be lkn sio vyeti vya kumpyuta na kuzaliwa mkuuSio kweli data wanazotumia ku shortlist ni zile ulizoombea kama deadline ilishapita hapo ni kuCertify asubiri saili zijazo.
Ebu nipe uzoefu ww hili limekukuta lini?? Maana kuna post za apo nyuma mwezi wa 8 niliomba na chet cha kuzaliwa hakikuwa certfied na nilikua shortlistedSio kweli data wanazotumia ku shortlist ni zile ulizoombea kama deadline ilishapita hapo ni kuCertify asubiri saili zijazo.
Kuna mdau alisema apo nyuma kwamba endapo ushindani ukiwa mkubwa yani watu ni wengi alafu nasafi ni chache ivyo utumishi wanazingatia kwanzia kwenye barua, passport hadi veti Sasa inawezekana kipindi icho ulivyo kuwa shortlist labda ushindani aukuwa mkubwa kama kipindi ambacho awajakuchagua kwa sababu ambazo mwanzo azikuzingatiwaEbu nipe uzoefu ww hili limekukuta lini?? Maana kuna post za apo nyuma mwezi wa 8 niliomba na chet cha kuzaliwa hakikuwa certfied na nilikua shortlisted
Hapana mkuu nafasi ilikua moja watu zaidi ya 600Kuna mdau alisema apo nyuma kwamba endapo ushindani ukiwa mkubwa yani watu ni wengi alafu nasafi ni chache ivyo utumishi wanazingatia kwanzia kwenye barua, passport hadi veti Sasa inawezekana kipindi icho ulivyo kuwa shortlist labda ushindani aukuwa mkubwa kama kipindi ambacho awajakuchagua kwa sababu ambazo mwanzo azikuzingatiwa
Ni mwez wa 8 tu hapoKuna mdau alisema apo nyuma kwamba endapo ushindani ukiwa mkubwa yani watu ni wengi alafu nasafi ni chache ivyo utumishi wanazingatia kwanzia kwenye barua, passport hadi veti Sasa inawezekana kipindi icho ulivyo kuwa shortlist labda ushindani aukuwa mkubwa kama kipindi ambacho awajakuchagua kwa sababu ambazo mwanzo azikuzingatiwa
Nisha upload kitambo mkuu sema nangoja shortlist tu ila kama ipo hivyo nimeambulia patupuDuuuh apo kipengele Mkuu
Lakini ni vyema kufuata taratibu kama zilivyo wekwa ili kuepukana na changamoto kama izi
Mkuu ebu fanya kuappload cheti ambacho chenye muhuri wa mwanasheria Kisha uone itakuwaje kuliko kutokufanya ivyo
Ni current resident Mkuu maana kwenye barua uwezi kubadirisha baada ya dead line kupita ivyo kwenye personal details apo ndipo tubadirisha kutoka na sehemu ulipo kwa SasaHabar wadau,nina swali kidogo
Katika kupangiwa venue wanaconsider p.o.box yako ama current resident region na current district?? Mana tunalishana matango pori huku nje
Fanya kurenew kwa manufaa ya saili zijazoERB certificate expired, tcra mmenipiga za kichwa
ERB certificate expired, tcra mmenipiga za kichwa
Naona IT ameliondoa ila naona wahuni waliliwahi, Washasambaziana sanaa kwenye magroup ya whatsapHaya Kuna pdf huko la LGA Afya
Wakati unafanya Application kilikuwa Active hicho cheti?ERB certificate expired, tcra mmenipiga za kichwa
Hahahaa hapa hakuna kukubali mabadiliko kama uliona jina lakoNaona IT ameliondoa ila naona wahuni waliliwahi, Washasambaziana sanaa kwenye magroup ya whatsap
Basi wangeunganisha kwenye sehemu ya mwajiri kwa maneno ya muajiri wizara na tamisemi,pale wamemuandika wizara tu nadhani ni swala la muda kama alivyosema @ mwifa
TAMISEMI kashaanza kunyakua wake tayari, mkiambiwa msijifiche kwenye kichaka cha kujifariji kwa kuukataa ukweliBasi wangeunganisha kwenye sehemu ya mwajiri kwa maneno ya muajiri wizara na tamisemi,pale wamemuandika wizara tu nadhani ni swala la muda kama alivyosema @ mwifa