Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unajua nilivyokutana na Ile not selected Tena red color nilivurugwa mzee,baada ya muda nikashkuru nikasema life must go on na niendelee na ratiba zingine
Hizi mambo inatakiwa uzizoee tu mkuu Mimi yote huwa naona sawa maana nilikosa naamini haikuwa nafasi yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…