Nashukuru sana kiongoziFika kituo chako cha kazi, wasome wafanyakazi wa hapo wapoje mtafute mmoja ambaye anaweza kukupa hints maisha ya hapo yanaenda vipi then , ujipange namna ya kuwasilisha hoja yako kwa wakuu wako. Hayo ni maswala binafsi na yanazungumzika.
Za manani ilikuwa kuitwa kazini Sasa hivi call for interview kifuatacho ni advertismentkwamba hata call for interview imekua anasa😀
aisee mziki ukiamia kwenye advertisement majobless watakua ndo wamepewa likizo🤣🤣Za manani ilikuwa kuitwa kazini Sasa hivi call for interview kifuatacho ni advertisment
Hiyo barua ya kumfukuza kazi bosi ndio inakuwaje.ukitaka ufukuzwe kazi ata bila kulipa hata mia we sain mkataba piga kaz hapo private kisha jina likitoka anza kuwa mtoro , au nenda kazin umelewa chakari, au nenda kazin na mpenz wako mfanye mapenz kazin mbele ya bosi, au ukishaona jina limetoka utumish mtongoze mke wa bosi live mbele yake......au ukiona jina lako limetoka kimya kimya mwandikie barua ya kumfukuza bosi kazi na wafanyakazi wengne wote gonga na muhuri feki na dai kujimilikisha kampuni..............au nenda kazini uchi..........watakufukuza mapema sanaa
yaani hata ukiwa hujajiunga bando unaweza ukadownload hii pdfPdf ya Leo ina kb
Au IT ana test mitambo nini?yaani hata ukiwa hujajiunga bando unaweza ukadownload hii pdf
mmh washaishiwa hakuna mitambo wala nin 🤣 🤣Au IT ana test mitambo nini?
ila utumishi aisee Kulikua na haja gani ya kutoa PDF mbili tofauti pale au database imeisha Dah aiseemmh washaishiwa hakuna mitambo wala nin 🤣 🤣
Kaka nasikia wanahamia ofisi mpya tutawafata huko hukoipo siku tutakuja kuwafuata pale migiro tuwatie vidole
Unakula tu asali NAOTMsiache kuomba nafasi na kuongeza received kama una sifa.
Usiache kuhudhuria mkando hata kama nafasi ni 1.
Pambana hadi ufike Oral.
Then, subiri utukufu wa Muumba!
Au database inaweza kuwa ime expire wame delete woteila utumishi aisee Kulikua na haja gani ya kutoa PDF mbili tofauti pale au database imeisha Dah aisee
Hawana jipya tenammh washaishiwa hakuna mitambo wala nin 🤣 🤣