Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna mwaka fulani watu waliomba kazi mwezi wa 8 ,,, wakaitwa interview mwezi wa kwanza mwaka uliofuata ,, by the way,, i don't kazi walienda kureport wangapi lakn toka pale nilipoteza imani na hawa watu mazima
Nahisi ilikuwa 2022, cha msingi ni kuji-keep busy kaka
 
Nahisi ilikuwa 2022, cha msingi ni kuji-keep busy kaka
Sawa,, lkn mtu anakuja kuitwa interview akiwa hadi kashasahau kuwa kuna kazi aliomba ,, bad enough interview inamtaka aende jufanya mtiani Dodoma
Kwa kweli hawa utumishi kuna kuna wakati unabaki unajiuliza maswali sasa kama hawaku tayari kwanini watio tangazo ?? Kweli unatoa tangazoo afu unakuja kumuita mtu kwaijili ya interview baada ya miezi 8 mbele ??
 
We endelea kula mmea huku ukiendelea kujifua siku moja moja mkushi
 
Ni kweli, nimetoka kukandwa NIT muda si mrefu, Tumepiga paper.
Halafu nimesahau kuweka hiyo 24, PSRS/24/ kwenye paper sehemu ya namba ya interview, ila namba ya mwisho nimepatia. kuna shida wakuu?.
 
kama namba ya mwisho umepatia aina shida, wanajua mkando uwa wanawavuluga watu. kila la kheri mkuu.
Jamaa hao PSRS Ofisi ya Rais wapo very strictly ukikosea kitu kidogo tu wanakula kichwa hawanaga mswalie Mtume yaan wala usimshauri jamaa hapo ni sawa kakosea Address ya kuombea kazi wanakula kichwa ukikosea kitu kidogo tu wanakulima mazima
 
Halafu nimesahau kuweka hiyo 24, PSRS/24/ kwenye paper sehemu ya namba ya interview, ila namba ya mwisho nimepatia. kuna shida wakuu?.
Hutakiwi kukosea chochote kwenye hizo issue za hao jamaa ukikosea chochote unalimwa kichwa hawana mswalie Mtume kwa hio km umekosea kuweka namba hesabu umeshatupwa pembeni mapema kabisa, pole in Advance
 
Jamaa hao PSRS Ofisi ya Rais wapo very strictly ukikosea kitu kidogo tu wanakula kichwa hawanaga mswalie Mtume yaan wala usimshauri jamaa hapo ni sawa kakosea Address ya kuombea kazi wanakula kichwa ukikosea kitu kidogo tu wanakulima mazima
Ni kweli wako very stricty, ila katika kosa kama ilo uwa wanakuaga na uvumilivu. nina experience nalo.
 
Hutakiwi kukosea chochote kwenye hizo issue za hao jamaa ukikosea chochote unalimwa kichwa hawana mswalie Mtume kwa hio km umekosea kuweka namba hesabu umeshatupwa pembeni mapema kabisa, pole in Advance
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…