kuchkuch hotahe
Member
- Jan 26, 2012
- 62
- 124
Nahisi ilikuwa 2022, cha msingi ni kuji-keep busy kakaKuna mwaka fulani watu waliomba kazi mwezi wa 8 ,,, wakaitwa interview mwezi wa kwanza mwaka uliofuata ,, by the way,, i don't kazi walienda kureport wangapi lakn toka pale nilipoteza imani na hawa watu mazima
Sawa,, lkn mtu anakuja kuitwa interview akiwa hadi kashasahau kuwa kuna kazi aliomba ,, bad enough interview inamtaka aende jufanya mtiani DodomaNahisi ilikuwa 2022, cha msingi ni kuji-keep busy kaka
We endelea kula mmea huku ukiendelea kujifua siku moja moja mkushiSawa,, lkn mtu anakuja kuitwa interview akiwa hadi kashasahau kuwa kuna kazi aliomba ,, bad enough interview inamtaka aende jufanya mtiani Dodoma
Kwa kweli hawa utumishi kuna kuna wakati unabaki unajiuliza maswali sasa kama hawaku tayari kwanini watio tangazo ?? Kweli unatoa tangazoo afu unakuja kumuita mtu kwaijili ya interview baada ya miezi 8 mbele ??
Yataka moyo unajifua kwa kitu ambacho hujui hata kitatoka lini ?We endelea kula mmea huku ukiendelea kujifua siku moja moja mkushi
Ndio vizur mkuu kikitoka huanzi stress za material lazima upige 97Yataka moyo unajifua kwa kitu ambacho hujui hata kitatoka lini ?
Kwa nn unasema ivyo Mkuu?Kuna uwezekano wa izi written interview zinazofanyika mwezi huu wa 12 zisifanyike online, inawezekana zikafanyika kwenye makaratasi..
Ni kweli, nimetoka kukandwa NIT muda si mrefu, Tumepiga paper.Kuna uwezekano wa izi written interview zinazofanyika mwezi huu wa 12 zisifanyike online, inawezekana zikafanyika kwenye makaratasi..
Halafu nimesahau kuweka hiyo 24, PSRS/24/ kwenye paper sehemu ya namba ya interview, ila namba ya mwisho nimepatia. kuna shida wakuu?.Ni kweli, nimetoka kukandwa NIT muda si mrefu, Tumepiga paper.
Kwa nn unasema ivyo Mkuu?
Halafu nimesahau kuweka hiyo 24, PSRS/24/ kwenye paper sehemu ya namba ya interview, ila namba ya mwisho nimepatia. kuna shida wakuu?.
Jamaa hawa PSRS wanazingua kinyama na Ofisi yao ya Rais, yaan hakuna PDF tangu mwenzi wa 5 huu Mwezi wa 12 Holalazima tunyooke
Jamaa hao PSRS Ofisi ya Rais wapo very strictly ukikosea kitu kidogo tu wanakula kichwa hawanaga mswalie Mtume yaan wala usimshauri jamaa hapo ni sawa kakosea Address ya kuombea kazi wanakula kichwa ukikosea kitu kidogo tu wanakulima mazimakama namba ya mwisho umepatia aina shida, wanajua mkando uwa wanawavuluga watu. kila la kheri mkuu.
Hutakiwi kukosea chochote kwenye hizo issue za hao jamaa ukikosea chochote unalimwa kichwa hawana mswalie Mtume kwa hio km umekosea kuweka namba hesabu umeshatupwa pembeni mapema kabisa, pole in AdvanceHalafu nimesahau kuweka hiyo 24, PSRS/24/ kwenye paper sehemu ya namba ya interview, ila namba ya mwisho nimepatia. kuna shida wakuu?.
Ni kweli wako very stricty, ila katika kosa kama ilo uwa wanakuaga na uvumilivu. nina experience nalo.Jamaa hao PSRS Ofisi ya Rais wapo very strictly ukikosea kitu kidogo tu wanakula kichwa hawanaga mswalie Mtume yaan wala usimshauri jamaa hapo ni sawa kakosea Address ya kuombea kazi wanakula kichwa ukikosea kitu kidogo tu wanakulima mazima
DuhHutakiwi kukosea chochote kwenye hizo issue za hao jamaa ukikosea chochote unalimwa kichwa hawana mswalie Mtume kwa hio km umekosea kuweka namba hesabu umeshatupwa pembeni mapema kabisa, pole in Advance
Sorry Wanaweka vitu gani sawa mkuu??kuna vitu wanaviweka sawaa..
Hakuna kitu kinachowekwa sawa kuna watu wameomba tangu mwezi wa 5 MDA & LGA huu mwezi wa 12 Hola hakuna PDF hio ya NIT ni ya juzi tu haizidi Mwezi wameitwa interview leo wamepiga writtenSorry Wanaweka vitu gani sawa mkuu??