GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Kama waalimu ndio washateswa kisaikolojia mpaka sasa hawaelewi yan.Hao jamaa ni hatari kwa afya ya Ubongo unaweza ukasahau unakuja kushtuka kitu kinasoma shortlisted halafu muda ushapita na haukutokea kwenye interview km unabet vile
Subiria nyie wa taasisi mtaitwa mapema tu.Mimi nasubiri hapa call for interview ya Hospitali ya Taifa.
Tangazo ni la october.
Unaziangalia tu received unasubiria wazitoe kasoro kwanza ili wawapunguzeKama waalimu ndio washateswa kisaikolojia mpaka sasa hawaelewi yan.
Kuna wakati mtu ukiziona received yan sijui unajikiaje tu.
Hao kipengele kigumuSubiria nyie wa taasisi mtaitwa mapema tu.
Maana Kuna taasisi huwa zinapewa upendeleo kama hizo hospital na vyuo vikuu huwa ni chap ila Kuna mda&lga ni mzozo
Walimu wanalaumu kinomaπKama waalimu ndio washateswa kisaikolojia mpaka sasa hawaelewi yan.
Kuna wakati mtu ukiziona received yan sijui unajikiaje tu.
TAA hawana haraka received za Customer service officer Zipo tangu mwezi wa 8 hapo wameongeza tena za Assistant Customer service officer.TAA nao hawana haraka na zile za mwezi wa 8
Huyo mtu anae authorize tangazo litoke wakati hawana haraka sijui huwa anazawa katika angle ipi. Au ndo mambo ya mawazo ya walioshibaTAA hawana haraka received za Customer service officer Zipo tangu mwezi wa 8 hapo wameongeza tena za Assistant Customer service officer.
Hawana njaa mkuu tujiandae mdogo mdogo.Huyo mtu anae authorize tangazo litoke wakati hawana haraka sijui huwa anazawa katika angle ipi. Au ndo mambo ya mawazo ya walioshiba
Yan sio poa, hustle is real mzeeUnaziangalia tu received unasubiria wazitoe kasoro kwanza ili wawapunguze
Mda&lgaπππππHao kipengele kigumu
Yan walimu japokuwa ni jeshi kubwa lakini kwa psrs wamekaa.Walimu wanalaumu kinomaπ
Ni mwendo wa kusaga lami tuYan sio poa, hustle is real mzee
Yaani Januari to DecemberMda&lgaπππππ
Wao ni time travelers hawako affected na muda. Na kweli wameshiba sio kwa kuridhika hukoHuyo mtu anae authorize tangazo litoke wakati hawana haraka sijui huwa anazawa katika angle ipi. Au ndo mambo ya mawazo ya walioshiba
Januari to December wanachojua ni kutoa nafasi tu kuita watu kwenye interview aahaha received zinabaki zinawang'ong'aWao ni time travelers hawako affected na muda. Na kweli wameshiba sio kwa kuridhika huko