Hahaha jamani utumishi wawe wanatoa pdf mapema waru waimie na kufurahi mapemaaa hahahahaNdio nimesema nichunguliie Mchana huu naona giza.. ili nijuuue hii nauli niliyo iandaa kufatia barua niile au niendee utumishi
Mkuu umeamua kusoma kuanzia mwanzo.πHahaha jamani utumishi wawe wanatoa pdf mapema waru waimie na kufurahi mapemaaa hahahaha
Hello humu ndani mpobila afya kimulimuli cha tanapa kingekua kinawaka
Mkoa mmoja tuu kwa barua yenye address ya utumishi Kisha ukiapply pale kwenye received utaona employer wako ni mkoa ulio applyWataalam ajira za ualimu za kilimo kule ajira portal kwa mikoa kama sita hv kila mkoa post 2 au 1 je mtu anapaswa kuaply mikoa yote akiatach barua au unaaply mkoa mmoja unatulia?
tupo aisee naona unajiandaa kupokea mshaharaHello humu ndani mpo
Uki apply mkoa mmoja ndo basi hiyo, system inajifunga kwa mikoa mingine.Wataalam ajira za ualimu za kilimo kule ajira portal kwa mikoa kama sita hv kila mkoa post 2 au 1 je mtu anapaswa kuaply mikoa yote akiatach barua au unaaply mkoa mmoja unatulia?
Hawa ndo wako kwenye paneling niniwazee wenu hao π€£ π€£ π€£
Mkuuu punguza makasiriko mkuu utaitwa na utakandwaNdiyo maana kazi huko utumishii haziendi,,,, kweli wazee hawa watafanyaje kazi kwa speed inayotakiwa ???
Hawa wazee ilipaswa wawe nyumbani wanacgeza na wajukuu lakin kwasababu ya ubinafsi na roho mbaya ,, vizee bado vimeng'ang'ania ofisini..
We fikiri post ya admission officer toka itolewe mwezi wa 8 hadi leo mwezi wa 12 bado hawajaita watu kufanya interview
kuna wazee wanaangalia matokeo ya interview hapo juu wanachekaPDF zimekimbia wapi siku iziπ³ππ
πππafu likizotupo aisee naona unajiandaa kupokea mshahara
dondosha hata vocha ya buku majobless tuigombanie siunaona ubao ulivyo mweupe kule webπππafu likizo
wazee wanacheka Pdf zilizopo ni za Halmashauri za Buhigwe, Mlele, Kasulu, Newala, Namtumbo, Busokelo na vijana wana ndoto za kwenda NSSF, TRA NHIF, TBS, HAZINA, MUHIMBILI, NIMR Mambo ni zigzaga........wazee wenu hao π€£ π€£ π€£
π€£π€£π€£ Dah!!Mkuuu punguza makasiriko mkuu utaitwa na utakandwa