Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 1,815
- 2,651
Leta mkasa mkuu sio swali. Japo ki utaratibu ni hairusiwiWAKUU NIJIBUNI HII KITU.
KUNA JAMBO SENSITIVE LIMETOKEA,TUCHUKUE HATUA MAPEMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta mkasa mkuu sio swali. Japo ki utaratibu ni hairusiwiWAKUU NIJIBUNI HII KITU.
KUNA JAMBO SENSITIVE LIMETOKEA,TUCHUKUE HATUA MAPEMA.
Basi sawa.Leta mkasa mkuu sio swali. Japo ki utaratibu ni hairusiwi
haiwezekani hiyoBasi sawa.
Kuna mtu wiki hii amemfanyia panel interview mpenzi wake.
Ninasema kitu chenye uhakika.haiwezekani hiyo
Na hawajamshitukia???Basi sawa.
Kuna mtu wiki hii amemfanyia panel interview mpenzi wake.
Yaaani mimi leonce jr namfanyia interview mwajuma tena oral interview🙄🙄😬😬Basi sawa.
Kuna mtu wiki hii amemfanyia panel interview mpenzi wake.
WAKUU NIJIBUNI HII KITU.
KUNA JAMBO SENSITIVE LIMETOKEA,TUCHUKUE HATUA MAPEMA
Sasa utumishi wao watajuaje kuwa miongonii mwa wasailiwa Kuna mtu ana mpenzii wake humo,,,,kimaadilii ilitakiwa msailii ajitoe kwenye panel wakati mpenzii wake akifanyiwa usailiiNinasema kitu chenye uhakika.
Utumishi wanapoalika watu kwenye panel hawakuwa makini.
Si tbc bado mkuuNmechinjwa, ngoja niendelee kusubiri
haina shida watakandwa wote mtu na baby wake🤣🤣Ninasema kitu chenye uhakika.
Utumishi wanapoalika watu kwenye panel hawakuwa makini.
NDIO.Na hawajamshitukia???
NI UKOSEFU WA MAADILI TU.Sasa utumishi wao watajuaje kuwa miongonii mwa wasailiwa Kuna mtu ana mpenzii wake humo,,,,kimaadilii ilitakiwa msailii ajitoe kwenye panel wakati mpenzii wake akifanyiwa usailii
kumbe huyo mpenzi wake alikua kwenye panel nilikua sijakuelewaNI UKOSEFU WA MAADILI TU.
Yametoka leoSi tbc bado mkuu
Duu wamefanya chap chap sana mkuuYametoka leo
Nilikua sijakuelewa mkuu. Kumbe panelist alikua ana mu interview mpenz wake.NDIO.
Basi sawa.
Kuna mtu wiki hii amemfanyia panel interview mpenzi wake.