Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Walioitwa Kazini MUST
Hii ajira ya Must ni yakimchongo. Kam vile hawashirikiani na UTUMISHI.
Kaz zimetangazaa June leo watu wanaitwa kazini.
wakat wengune Kaz zetu za April za Utumishi mpk leo hatuoni Update yeyote
[emoji2][emoji2]
 
Hii ndio inaitwa kuokoa muda sio interview manafanya alafu majina kutok sasa ni bora wange toa majina ukajua kimoja ata ukiambiwa kureport ni 2030 fresh ila ushajua kimoj
Yaani, wamefanya Chap mnoo, yaani ndani ya siku 40 wamefanya mambo ma3. wametangaza ajira, wameita watu interview na sasa wameitwa kazini.
 
Sema tafuta kabisa Cheri Cha ndoa fake ili Ile pesa
 
Wanajamvi nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nn kinacho endeleea.
Wakuite uanze kazi bila.fungu kutoka si utaanza kulia njaa mapema sanaa mkuu..tulia fungu litoke kisha utapewa placement yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…