Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Zipo pending tu received inasoma mpaka leo hakuna alieitwa interview wazee hawataki kustaafu na serikali haitaki kuwachomoa wazee kazini sababu hata wakirudi mtaani hawajui watafanya nini maana mtaani kugumuHabari wakuu, hivi kuna zile posts zilitangazwa last year nyingi tuu taasisi za LGAs na MDAs,nakumbuka ilikuwa mwezi wa nane, nini kilitokea? Naona hawajaita mpaka leo, au walizifuta??