Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

I hope Kuna siku na sisi tutatoa ushuhuda wa kupata kazi.

Mtu mwingine akipata kazi na kutoa ushuhuda hapa iwe ni sehemu ya kutumia nguvu!

We shall over come! We shall over come!

Mimi najitolea kila ijumaa kufunga na kuomba kwa ajili yetu sote ambao Bado tunasubiria interview, kusubiria nafasi kutangazwa au kama unasubiria kuitwa kazini.

Kila ijumaa ntafunga na kuomba ... Maisha yana Siri kubwa huwezi kujua kesho nani anaweza kuwa msaada kwako!

Mungu si tu kama anasikia maombi Bali anajibu pia
 
I hope Kuna siku na sisi tutatoa ushuhuda wa kupata kazi.

Mtu mwingine akipata kazi na kutoa ushuhuda hapa iwe ni sehemu ya kutumia nguvu!

We shall over come! We shall over come!

Mimi najitolea kila ijumaa kufunga na kuomba kwa ajili yetu sote ambao Bado tunasubiria interview, kusubiria nafasi kutangazwa au kama unasubiria kuitwa kazini.

Kila ijumaa ntafunga na kuomba ... Maisha yana Siri kubwa huwezi kujua kesho nani anaweza kuwa msaada kwako!

Mungu si tu kama anasikia maombi Bali anajibu pia
Ameni mkuu.be blessed mkuu.
 
I hope Kuna siku na sisi tutatoa ushuhuda wa kupata kazi.

Mtu mwingine akipata kazi na kutoa ushuhuda hapa iwe ni sehemu ya kutumia nguvu!

We shall over come! We shall over come!

Mimi najitolea kila ijumaa kufunga na kuomba kwa ajili yetu sote ambao Bado tunasubiria interview, kusubiria nafasi kutangazwa au kama unasubiria kuitwa kazini.

Kila ijumaa ntafunga na kuomba ... Maisha yana Siri kubwa huwezi kujua kesho nani anaweza kuwa msaada kwako!

Mungu si tu kama anasikia maombi Bali anajibu pia
Unafanya kitu kizuri mkuu..

Mungu atubariki sote.
 
Habari wakuu, hivi kuna zile posts zilitangazwa last year nyingi tuu taasisi za LGAs na MDAs,nakumbuka ilikuwa mwezi wa nane, nini kilitokea? Naona hawajaita mpaka leo, au walizifuta??
 
Habari wakuu, hivi kuna zile posts zilitangazwa last year nyingi tuu taasisi za LGAs na MDAs,nakumbuka ilikuwa mwezi wa nane, nini kilitokea? Naona hawajaita mpaka leo, au walizifuta??
Unazungumzia zile za mwezi wa 8?!

Kama ni zile basi bado zipo pending..

Sio hizo tu,Kuna za taasisi nyingine kama TFS na Necta bado hawajaita watu kwenye interview.

Wajuvi wanasema kua watu wataitwa kwenye interview baada ya Utumishi kumalizana na walimu.

Let's be Patient mkuu.
 
Habari wakuu, hivi kuna zile posts zilitangazwa last year nyingi tuu taasisi za LGAs na MDAs,nakumbuka ilikuwa mwezi wa nane, nini kilitokea? Naona hawajaita mpaka leo, au walizifuta??
Zile waliita baadhi ya kada nyingine zilizobaki nafikiri baada ya kumalizana na walimu
 
Unazungumzia zile za mwezi wa 8?!

Kama ni zile basi bado zipo pending..

Sio hizo tu,Kuna za taasisi nyingine kama TFS na Necta bado hawajaita watu kwenye interview.

Wajuvi wanasema kua watu wataitwa kwenye interview baada ya Utumishi kumalizana na walimu.

Let's be Patient mkuu.
Pia kuna tawa na tawiri bado awajatuita toka mwezi wa nane
 
Hivi wanaosubilia interview za admission officer na Qualify assurance ni kwamba interview itakuwa dodoma au kila mtu atafanya mkoa aliopo
 
Wale wa account, administration, taxation, procurement and civil engineering ni muda wenu wa kuongeza Received maana TRA wanahitaji watu 1630+ ivyo kila lakheri kwenu
 
Hizi ajira za TRA hazina transparency kabisa ingawa huwa zinafanyika fasta lakini kuna loopholes nyingi za watu kuingizana ukilinganisha na PSRS.

Wakuu wenye sifa, kila la heri kwenu. Asali flani hii ya kukata na shoka.
 
Back
Top Bottom