Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kila mwenye sifa aliyewahi kufanya usahili na akafaulu ana haki ya kupangiwa kituo cha kazi nafasi zikipatikana.

Hivyo basi hao waliowahi kufanya ndio wanabahatika kupangiwa kazi kwa sasa.

Pia, hawa walimu wanaoendelea kufanya sahili, wale wote watakaofika oral na kufaulu, kuna wapo watabaki database na watapangiwa nafasi baadae zilipatikana.

Mfano: Hawa wanaotolewa database huenda kunawapo walifanya sahili za nafasi ya kazi NECTA kama Examination Officer, Quality Control Officer, Quality Assurance Officer ila wakapangwa kufundisha.

Halafu hawa watakobaki database wanaweza kuja kupata nafasi baadae sehemu zingine palipo pazuri zaidi mfano huko NECTA na kwenye Vyuo vya kati.

Hivyo hapa ni ishu ya kucheza na bahati unaweza kuangukia popote.
Umeeleza vyema mkuu tuendelee kuhudhulia interview
 
Mimi naamini kwenye kujiandaa vizuri na mapema ayo mengine namwachia Mungu kwa sababu Sikio lake sio zito ata akashindwa kutusikia
Haya mambo ya Utumishi kwa kweli ni Neema ya Mungu.....Ndomaana kwenye Oral wameweka siri yao marks zako hawataki kuweka wazi kunakitu wanachojua wao...
Na baada ya wasakaji kuwa watafiti kujua kupitia Application yao wameona shida wakaifungia(undermaintanance)
Upepo ukikubali mnalamba asali wote mlioingia oral mpaka bado wanauhitaji mwingine......
 
Haya mambo ya Utumishi kwa kweli ni Neema ya Mungu.....Ndomaana kwenye Oral wameweka siri yao marks zako hawataki kuweka wazi kunakitu wanachojua wao...
Na baada ya wasakaji kuwa watafiti kujua kupitia Application yao wameona shida wakaifungia(undermaintanance)
Upepo ukikubali mnalamba asali wote mlioingia oral mpaka bado wanauhitaji mwingine......
Mkuu nimegundua humu umu upo kitambo sana utakuwa na mzoefu mkubwa kwenye haya mambo hivyo mwaka huu unaweza kuwa wako kama hujalamba mchuzi mkuu
 
oya pdf zinamiminika kila siku ila kila nikicheck kozi yangu ni bila bila mpaka sasa sijui wameisahau?? Wakati ndio kiuongo cha office kwenye swala la management
Usijaliii nafasi zenu za uhasibu zitatoka tu mzee wangu.
 
Mkuu sasa kazi zilitangaziwa wapi wakat mfum ulikua tamisemi??
Walishawahi kutangaza nafasia za walimu mfano Tangazo hilo la mwezi January 23, 2024 Walikuwa wanataka Walimu.
 

Attachments

Walishawahi kutangaza nafasia za walimu mfano Tangazo hilo la mwezi January 23, 2024 Walikuwa wanataka Walimu.
Ni kweli mkuu nimekili kuwa ni kweli sema nilikua sifuatilii ajira za serikalini kipindi hivyo nilikua sijui.
 
Haya mambo ya Utumishi kwa kweli ni Neema ya Mungu.....Ndomaana kwenye Oral wameweka siri yao marks zako hawataki kuweka wazi kunakitu wanachojua wao...
Na baada ya wasakaji kuwa watafiti kujua kupitia Application yao wameona shida wakaifungia(undermaintanance)
Upepo ukikubali mnalamba asali wote mlioingia oral mpaka bado wanauhitaji mwingine......
Wale ambao wamewekewa SELECTED. Baada ya kufanya oral, huwa kuna updates tena ?
 
Back
Top Bottom