Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Zipo pending tu received inasoma mpaka leo hakuna alieitwa interview wazee hawataki kustaafu na serikali haitaki kuwachomoa wazee kazini sababu hata wakirudi mtaani hawajui watafanya nini maana mtaani kugumuHabari wakuu, hivi kuna zile posts zilitangazwa last year nyingi tuu taasisi za LGAs na MDAs,nakumbuka ilikuwa mwezi wa nane, nini kilitokea? Naona hawajaita mpaka leo, au walizifuta??
0744233333Guys kama kuna mtu ana link ya group za interview za TRA naomba
PSRS wamelala hawajaweka hizo kule kunasoma 0 tuWale wa account, administration, taxation, procurement and civil engineering ni muda wenu wa kuongeza Received maana TRA wanahitaji watu 1630+ ivyo kila lakheri kwenu
Tra kwa sasa Wanaajiri wenyewe, ni balaa,PSRS wamelala hawajaweka hizo kule kunasoma 0 tuView attachment 3226631
Asante mkuu0744233333
Namba yao wa WhatsApp hio waombe link watakupa
Basi hapo ni kisanga mwendo wa kupachikana wenyewe kwa wenyewe tu huko huna connection endelea kusugua lami kwanzaTra kwa sasa Wanaajiri wenyewe, ni balaa,
Binafsi mimi siombi
Ilitakiwa tupaze sauti tra warudi AjiraportalBasi hapo ni kisanga mwendo wa kupachikana wenyewe kwa wenyewe tu huko huna connection endelea kusugua lami kwanza
Mboni halisomeki vizuri?Tangazo hilo hapo, in case hujalipata bado.
Link hio hapo juu applyAsante mkuu
Hivi Mkurugenzi hatakuzingua kukupitishia barua....Guys kama kuna mtu ana link ya group za interview za TRA naomba
Dah sielewi hata wacha tuoneHivi Mkurugenzi hatakuzingua kukupitishia barua....
Pambana sana maana hicho ndio kikwazo
Guys kama kuna mtu ana link ya group za interview za TRA naomba
Hawa wamefanya interview juzi kati ni wasaidizi wa maafisa maendeleo ya jamii.Wakuu ivi wanaoitwa maendeleo ya jamii ni wale wa degree kutoka database??
😂😂hiv TRA hatuna vigezo au mana nafasi ni nyingi jmnnaona BOT wameita interview wengine mjiandae sasa🔥🔥