Nilikua najiona mwisho wa mwezi ni mwendo wa ATM.Yamekuwa hivyo tenaπππππ
Yes zipo placements zilizotolewa hata j5 na alhamisiPSRS hawaeleweki wanaweza kutoa hata leo
Uzuri serikalini hata itokee huu mwezi umeajiriwa wakati wameshaandaa payroll,utaiandikia kama madai haitaenda Bure..so Wala usiombee kujichelewesha kakaNilikua najiona mwisho wa mwezi ni mwendo wa ATM.
Kweli bora zitoke tuUzuri serikalini hata itokee huu mwezi umeajiriwa wakati wameshaandaa payroll,utaiandikia kama madai haitaenda Bure..so Wala usiombee kujichelewesha kaka
WachangamkeUzuri serikalini hata itokee huu mwezi umeajiriwa wakati wameshaandaa payroll,utaiandikia kama madai haitaenda Bure..so Wala usiombee kujichelewesha kaka
ππWachangamke
ππππStatus inasomaje kwanza?kwenye appNilikua najiona mwisho wa mwezi ni mwendo wa ATM.
Wenzio wakiwa na amani hujiskii raha broπππππStatus inasomaje kwanza?kwenye app
Ngoja tupite naoKuna huu uzi una madini, tuupitie
Haki na wajibu kwa watumishi wa Umma
Haki na Wajibu wa Mtumishi wa Umma. Mtumishi wa Umma una wajibu wa kutumia elimu, ujuzi na bidii katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Kadhalika una haki na stahiki mbalimbali unazopaswa kuzipata kutoka kwa mwajiri wako kama ifuatavyo:- 1. Kupewa Mkataba wa Kazi (Barua ya Ajira) Mtumishi wa...www.jamiiforums.com
πππππNataka nimchanganye asubuhi asubuhi ukute yupo not selected forWenzio wakiwa na amani hujiskii raha broπ
Katika upumbavu sifuatilii ni status.ππππStatus inasomaje kwanza?kwenye app
ππππUfatilie inachanganya balaaKatika upumbavu sifuatilii ni status.
Subiri PDF hakuna ambaye amepata ajira kwa Status. Ni kupoteza muda tu kufuatilia StatusππππUfatilie inachanganya balaa
UmenenaSubiri PDF hakuna ambaye amepata ajira kwa Status. Ni kupoteza muda tu kufuatilia Status
acha uchawi we kijana umeshakandwa na psrs unataka kupanikisha watuππππππStatus inasomaje kwanza?kwenye app
πππππHahhhh afu wewe sindo imekuandikia not selected ,hapo tunasema baba jeni bye byeπacha uchawi we kijana umeshakandwa na psrs unataka kupanikisha watuππ
Si mtuue basi ππππππHahhhh afu wewe sindo imekuandikia not selected ,hapo tunasema baba jeni bye byeπ
πππHahhhh kaka imekuandikia not selected aseeeh baba jeni bye bye hapo umeyaaga mashindano na mwendo umeumalizaSi mtuue basi π
Good booyyyyHahahaaa.
Mimi jimbo lina mwenyewe, hiyob "kaka" akiitamka ndio imekaa kitaalamu sana