zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kuna fisi haelewi humu anataka ale sherehe zote zenye misosi huku na kule na kule mwisho anaishia kuambulia mifupa, fisi yoyote atakae taka kula misosi mingi atachezea kichapo atachapwaNi vyema kuapply moja uwe safe side maana hata wanavokuchagulia post moja uattend interview ni kengele todha kua hukupaswa kuapply mbili
Sawa mkuuTutawachapa nyinyi mnaojifanya wajuaji unaambiwa omba 1 unaomba 10 tamaa itakuponza fisi utakula mifupa, fisi mtachapwa mpaka mchapike
Tra kwa sasa Wanaajiri wenyewe, ni balaa,
Binafsi mimi siombi
Hiyo app walishaisusa toka mwezi wa nane mwaka jana..Maboresho nimakubwa Sana PSRS ata apps Yao haifunguki saiv
Sawa mkuu sonona itakuuaAdmin ana msongo wa mawazo tena atakua Mwanamke hapo ndipo balaa lilipo
Sio mimiSawa mkuu sonona itakuua
Hapana Kuna sehemu unaweka cheti Kisha transcript inafuata kwenye sehemu yakeWakuu naomba kuuliza,
Chet cha degree unaweka na transcript kweny pdf moja???
TAA wameitwa nafasi zipi mkuu? Maana kuna tulio apply Mwezi wa 8 ila bado hatujaitwa.Sema MDAs &LGAs zilizobaki hawa jamaa ni wahuni tu mpaka sasa hakuna jambo wameitwa waliofata wote wameitwa TAA NA BOT
Kwangu haileti option ya transcript mbona??Hapana Kuna sehemu unaweka cheti Kisha transcript inafuata kwenye sehemu yake
Usisahua kuvihakiki kwa mwanasheria
Ohooo kitambo mkuu ingia kweny akaunt yakoTAA wameitwa nafasi zipi mkuu? Maana kuna tulio apply Mwezi wa 8 ila bado hatujaitwa.
Mkuuu mimi sijaona pale unaweka wapi io transcriptHapana Kuna sehemu unaweka cheti Kisha transcript inafuata kwenye sehemu yake
Usisahua kuvihakiki kwa mwanasheria
Haileti au hujaona mahali pa kuweka transcript?Kwangu haileti option ya transcript mbona??
Sijaona hata mm mkuuHaileti au hujaona mahali pa kuweka transcript?
Hakuna kabisa iyo sehemuHaileti au hujaona mahali pa kuweka transcript?
Ipo bahna baada ya saved academy qualifications chini yake kuna saved academy transcriptHakuna kabisa iyo sehemu
TAA zile za portal Yao sio ya ajira PortalTAA wameitwa nafasi zipi mkuu? Maana kuna tulio apply Mwezi wa 8 ila bado hatujaitwa.
Sio kwelinaona watu wanaoenda kufanya usahili BOT ni wengi kuliko walimu🤣🤣