Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kiongozi hamna Cha ujuaji hapo, addressee ni huyo jamaa. Cg TRA
.. kwahiyo huyo atakaeandika hivo atakuwa sahihi zaidi

Yaani sijui umewaza nn mpka ukaongelea hii.

Ni kitu ndogo sana hiyo..
 
Hii ni over observation mkuu, hakuna kitu kama hiko.. kwenye hii ishu ya anuani hapana... Hizi barua zote zinaenda Kwa cg wa tra na hiyo ndo anuani yake so hatakama umeandk hiyo hawawezi kukuacha hata.

Sijui kama wanaweza kutumia Kam mtego
 
Unajuaje kama sio mtego huo?

Kama umepewa maelekezo madogo tu na unashindwa kuyafata utaweza kweli kazi.

Attention to details utaipatia wapi kama hapo tu inakushinda.
Hapo itakuwa unajitega mwenyewe, jiamini mkuu.. fanya kilichopo sahihi kwisha habari..
 
Hii ni over observation mkuu, hakuna kitu kama hiko.. kwenye hii ishu ya anuani hapana... Hizi barua zote zinaenda Kwa cg wa tra na hiyo ndo anuani yake so hatakama umeandk hiyo hawawezi kukuacha hata.

Sijui kama wanaweza kutumia Kam mtego
Mkuu mbona kila kitu kinaeleweka kwenye tangazo lakazi si wameweka address ukienda kinyume na hapo chali tena Kwa wengi inakuwaga bolded ili uione vizuri na kwa msisitizo zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…