Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah kudadek hawa jamaa wana bore kinouma aiseeHuku bado nahisi wiki watafanya jambo
We Acha tu kaka nyakati zinabadilika sana 😀 nakumbuka 2023 watu walikuwa nawakuwa shortlisted kila siku .mambo yamebadilika sana
watu walikua wanachagua interview za kwenda sasa mwezi wa tisa huu apeche alolo 🤣 🤣We Acha tu kaka nyakati zinabadilika sana 😀 nakumbuka 2023 watu walikuwa nawakuwa shortlisted kila siku .mambo yamebadilika sana
ni miaka miwili tu ila inatosha kuandika kitabu🤣🤣Ndio mkuu 2023
Sema waalimu hawa umbwa wamearibu za utumoshi aiseewatu walikua wanachagua interview za kwenda sasa mwezi wa tisa huu apeche alolo 🤣 🤣
sema bila walimu huu uzi sasa hivi ungekua mtupuSema waalimu hawa umbwa wamearibu za utumoshi aisee
Mkuuu aisee mafunzo yanaendelea na bado kila nikisoma vya koz yangu sielewi kazi za koz yangu siomb kama kuna kazi zipo nyingine zinahitaji na koz yangu mkuu. Nikisoma nikitoka nje amna kitu kichwanni miaka miwili tu ila inatosha kuandika kitabu🤣🤣
Wamearibu sana hawa jamaaa aisee na bado sema kesho kutwa ndio wana maalizana nao tutaonasema bila walimu huu uzi sasa hivi ungekua mtupu
Kuna kipindi IT wa psrs alikuwa anapita humu ana soma coment za wadau siku izi hata hazingatii .. zile enzi za za vita kati ya inojembe na itpersonal😀😀😀watu walikua wanachagua interview za kwenda sasa mwezi wa tisa huu apeche alolo 🤣 🤣
Hahahaha afu ITpersonal akatoboaKuna kipindi IT wa psrs alikuwa anapita humu ana soma coment za wadau siku izi hata hazingatii .. zile enzi za za vita kati ya inojembe na itpersonal😀😀😀
Aah kudadek huenda alihamishwa au kawa senior sa hii mkuuKuna kipindi IT wa psrs alikuwa anapita humu ana soma coment za wadau siku izi hata hazingatii .. zile enzi za za vita kati ya inojembe na itpersonal😀😀😀
Ndio mkuuVp upande wa Tin namba mkuu imekubali kukaa kwako..? , maana kila tukiweka baada ya muda ina ondoka mpaka sasa.
Owkey mkuu naona imekubali pia kwa upande wangu.Ndio mkuu
Wote walitoboa ... ila walikuwa watani wa jadiHahahaha afu ITpersonal akatoboa
Kwa kifupi mkuu ina husu nini macho yananisumbua
Unaunganisha mkuutranscrip umeunganisha na cheti pdf moja?
Ila waalimu bana mbon wanalia sana shida nini