Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 395
- 1,195
Ah ah yani ni kipengele kakaIla waalimu bana mbon wanalia sana shida nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah ah yani ni kipengele kakaIla waalimu bana mbon wanalia sana shida nini
Na birth certificate na affidavity je?Unaunganisha mkuu
hivi birthcertificate inakaa pdf moja affidavity/deedpoll?Wale wa TRA.
Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?
Hii portal yao nayo ni hovyo tu
Ndio mamaa unaunganishaNa birth certificate na affidavity je?
Inabidi tuanzishe challenge ya mwenye received nyingi tupate mshindikuna watu wana received zaidi ya kumi humu.
Asante dearNdio mamaa unaunganisha
Ili cheti kiwe certified ni lazima waseme kwenye tangazo la kazi kule nadhani ukipitia tena vzuri utaona vitu gani vina takiwa kucertified, hakuna sehem wametaja affidavits wala deed poll kucertified so kama unatumia kimoja wapo unaweza kuweka kama kilivyo.Deed poll na yenyewe inakua certified?
Asante dear,barikiwa sana🙏Ili cheti kiwe certified ni lazima waseme kwenye tangazo la kazi kule nadhani ukipitia tena vzuri utaona vitu gani vina takiwa kucertified, hakuna sehem wametaja affidavits wala deed poll kucertified so kama unatumia kimoja wapo unaweza kuweka kama kilivyo.
Kmamaeee ,na bado hamjaasema , mpaka msemee 🤣🤣🤣🤣🤣, hivi waalimu huwa wanajiona ni kina nani vile ?
oyaaaa mkuuDah ! Ila huu uZi aisee kitambo sijaingia humu ,wadau mpo?, hivi Tpain mzee wa matusi yuko wapi Aachie tusi moja kali kwa utumishi ?
Hivi hawa nguruwe wa kuitwa utumishi bado wapo kweli ?
kitambo sanaa 🤣 🤣Dah ! Ila huu uZi aisee kitambo sijaingia humu ,wadau mpo?, hivi Tpain mzee wa matusi yuko wapi Aachie tusi moja kali kwa utumishi ?
Hivi hawa nguruwe wa kuitwa utumishi bado wapo kweli ?
Thank you, daima tubarikiwe sote kwenye mafanikio.🙏Asante dear,barikiwa sana🙏
Yaan hapo ukituma Maombi anza kitabu, usisubiri waite written ndy uanze kujiandaa inakua hatari.vuta picha mareceived zaidi ya kumi halafu yote unapelekewa moto 🤣 🤣
mmh sasa kama miezi nane hakuna kitu ukisema uanze kusoma baada ya kuapply hapo si masters hiyoYaan hapo ukituma Maombi anza kitabu, usisubiri waite written ndy uanze kujiandaa inakua hatari.
Watu wa Jana BOT waliona kulikuwa hakuna namna Wiki Moja ukamaliza kupitia vyote.
Lolote na liwe ***** kwa huu msoto hata waseme kesho interview naenda nafanya hivyo hivyoYaan hapo ukituma Maombi anza kitabu, usisubiri waite written ndy uanze kujiandaa inakua hatari.
Watu wa Jana BOT waliona kulikuwa hakuna namna Wiki Moja ukamaliza kupitia vyote.