Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

We Acha tu kaka nyakati zinabadilika sana 😀 nakumbuka 2023 watu walikuwa nawakuwa shortlisted kila siku .mambo yamebadilika sana
watu walikua wanachagua interview za kwenda sasa mwezi wa tisa huu apeche alolo 🤣 🤣
 
ni miaka miwili tu ila inatosha kuandika kitabu🤣🤣
Mkuuu aisee mafunzo yanaendelea na bado kila nikisoma vya koz yangu sielewi kazi za koz yangu siomb kama kuna kazi zipo nyingine zinahitaji na koz yangu mkuu. Nikisoma nikitoka nje amna kitu kichwan
 
watu walikua wanachagua interview za kwenda sasa mwezi wa tisa huu apeche alolo 🤣 🤣
Kuna kipindi IT wa psrs alikuwa anapita humu ana soma coment za wadau siku izi hata hazingatii .. zile enzi za za vita kati ya inojembe na itpersonal😀😀😀
 
Kuna kipindi IT wa psrs alikuwa anapita humu ana soma coment za wadau siku izi hata hazingatii .. zile enzi za za vita kati ya inojembe na itpersonal😀😀😀
Hahahaha afu ITpersonal akatoboa
 
Kuna kipindi IT wa psrs alikuwa anapita humu ana soma coment za wadau siku izi hata hazingatii .. zile enzi za za vita kati ya inojembe na itpersonal😀😀😀
Aah kudadek huenda alihamishwa au kawa senior sa hii mkuu
 
20250217_122123.jpg
20250217_122126.jpg
20250217_122129.jpg
20250217_122133.jpg
 
Back
Top Bottom