kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Afsa,vipi unataka kukimbia hapo kwa CAG?Wale wa TRA.
Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?
Hii portal yao nayo ni hovyo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afsa,vipi unataka kukimbia hapo kwa CAG?Wale wa TRA.
Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?
Hii portal yao nayo ni hovyo tu
Nasaidia mtu hapa kutafuta ugali.Afsa,vipi unataka kukimbia hapo kwa CAG?
Ahsante mkuu kwa muongozoNop,ipo sehem mwishoni kabisa kwenye ku apply utaona sehemu ya ku attach CV and cover letter
Mwisho kabisa pale Kuna sehemu ya kuweka CV na cover letter separateWale wa TRA.
Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?
Hii portal yao nayo ni hovyo tu
imetenganishwa mkuu ,kuna sehemu ya CV na BARUAWale wa TRA.
Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?
Hii portal yao nayo ni hovyo tu
Wale jamaa hawajui kuwa umri watu una
Vp upande wa Tin namba mkuu imekubali kukaa kwako..? , maana kila tukiweka baada ya muda ina ondoka mpaka sasa.imetenganishwa mkuu ,kuna sehemu ya CV na BARUA
Nimeona, Ahsanteni kwa muongozoimetenganishwa mkuu ,kuna sehemu ya CV na BARUA
Lengo wakuteme tu mkuu hakuna namnaVp upande wa Tin namba mkuu imekubali kukaa kwako..? , maana kila tukiweka baada ya muda ina ondoka mpaka sasa.
Lengo wakuteme tu mkuuVp upande wa Tin namba mkuu imekubali kukaa kwako..? , maana kila tukiweka baada ya muda ina ondoka mpaka sasa.
We ni kamishna general?!Lengo wakuteme tu mkuu hakuna namna
Sasa maana ake nini? TIN number haikaiWe ni kamishna general?!
Msaada,,, hapo kwenye remark niandikejeimetenganishwa mkuu ,kuna sehemu ya CV na BARUA
Kiongozi hamna Cha ujuaji hapo, addressee ni huyo jamaa. Cg TRANawakumbusha Tena ndugu zangu
Kwenye address Unatakiwa uandike hivi:-
Commissioner General,
P.O.BOX 11491
MCHAFUKOGE - DAR ES SALAAM
Sasa kuna wale ambao wajuaji sana wataandika hivi, Mwanakulifind mwanakulipata.
Commissioner General,
Tanzania Revenue Authority
P.O.BOX 11491
MCHAFUKOGE - DAR ES SALAAM
Hapo Tofauti ni ndogo sana ila inaweza kuku cost ajira yako.
View attachment 3234277
TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA
Habarini Wakuu!!!!!! Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania. Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596. Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana...www.jamiiforums.com
Update tena itakaa tu mfumo wao hauko stable.. ila ikitokea haikai sio lazima mkuuSasa maana ake nini? TIN number haikai
Hii ni over observation mkuu, hakuna kitu kama hiko.. kwenye hii ishu ya anuani hapana... Hizi barua zote zinaenda Kwa cg wa tra na hiyo ndo anuani yake so hatakama umeandk hiyo hawawezi kukuacha hata.Katika Shortlist vigezo walivyoweka lazima waangalie vyote.
Kama kigezo umekiacha unakuwa umekosa sifa ya kuwa shortlist.
Kuwa shortlist sio kwamba umepata nafasi, hiyo ni hatua moja kati ya hatua nyingi.
Hivyo ili uweze kusonga mbele kwenye hatua zote inabidi kila hatua usiikosee.
Hivyo, jamaa katahadharisha kuhusu anwani jinsi ilivyoandikwa kwenye tangazo ili kuepusha watu kukosea jambo dogo kama hilo na hatimaye waweze kuwa shortlist kwenda hatua nyingine
Hapo itakuwa unajitega mwenyewe, jiamini mkuu.. fanya kilichopo sahihi kwisha habari..Unajuaje kama sio mtego huo?
Kama umepewa maelekezo madogo tu na unashindwa kuyafata utaweza kweli kazi.
Attention to details utaipatia wapi kama hapo tu inakushinda.
Mkuu mbona kila kitu kinaeleweka kwenye tangazo lakazi si wameweka address ukienda kinyume na hapo chali tena Kwa wengi inakuwaga bolded ili uione vizuri na kwa msisitizo zaidHii ni over observation mkuu, hakuna kitu kama hiko.. kwenye hii ishu ya anuani hapana... Hizi barua zote zinaenda Kwa cg wa tra na hiyo ndo anuani yake so hatakama umeandk hiyo hawawezi kukuacha hata.
Sijui kama wanaweza kutumia Kam mtego
Kweli kabisaUkitaka ugonjwa wa afya ya akili , wape dhamana hawa wapuuzi wa utumishi
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂yaniKiongozi hamna Cha ujuaji hapo, addressee ni huyo jamaa. Cg TRA
.. kwahiyo huyo atakaeandika hivo atakuwa sahihi zaidi
Yaani sijui umewaza nn mpka ukaongelea hii.
Ni kitu ndogo sana hiyo..