Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hivi wakuu matokeo ya oral huwa yanatoka kwenye akaunti ya mwombaji au inakuaje?

I mean kwa hawa walimu walifanikiwa kuingia oral matokeo yao ya oral watayaonea wapi?

Kuna dogo yupo bush alifika oral ya mojawapo ya somo ndo anaulizia matokeo.
 
Hivi wakuu matokeo ya oral huwa yanatoka kwenye akaunti ya mwombaji au inakuaje?

I mean kwa hawa walimu walifanikiwa kuingia oral matokeo yao ya oral watayaonea wapi?

Kuna dogo yupo bush alifika oral ya mojawapo ya somo ndo anaulizia matokeo.
hawatoagi awe anaangalia tu matokeo wanayotoa kwenye website yao
 
Niaje iv ukitaka kujua kama up database unajuaj
 
Huwez mkuu ila kama uliingia oral una uhakika ulijibu ipasavyo maswali 6 kati uliyo ulizwa basi upo database ila kama ulikosa kwa asilimia zote huna tofauti na alie fail written
Maswali yalikuwa matano 5 ila kati ya ayo mawili xina uwakika Nay kabix Kam nimepat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…