Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hivi wakuu matokeo ya oral huwa yanatoka kwenye akaunti ya mwombaji au inakuaje?

I mean kwa hawa walimu walifanikiwa kuingia oral matokeo yao ya oral watayaonea wapi?

Kuna dogo yupo bush alifika oral ya mojawapo ya somo ndo anaulizia matokeo.
 
Hivi wakuu matokeo ya oral huwa yanatoka kwenye akaunti ya mwombaji au inakuaje?

I mean kwa hawa walimu walifanikiwa kuingia oral matokeo yao ya oral watayaonea wapi?

Kuna dogo yupo bush alifika oral ya mojawapo ya somo ndo anaulizia matokeo.
hawatoagi awe anaangalia tu matokeo wanayotoa kwenye website yao
 
Waachie Pdf ya Database Watutoe mtaa kama wao walivyopeana Offer za watoto wao kupitia ajira za mkataba kwenda ajira za Kudumu....
Ndo tutawaelewa kuliko wanajaza mapichamapicha ya safari zao wanaacha Lengo la website yao haina tija kwetu watafutaji....

Quote
Niaje iv ukitaka kujua kama up database unajuaj
 
Ndiooo yapoo mkuuu tayari kwa website yao ila cutting point sasa aloo
image_2025-02-23_074547332.png
hao wenye 68 waefungana lakini kachukuliwa mmoja
 
Back
Top Bottom