El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
raia hawataki kukuelewa kabisa yan 🤣 🤣Watu mnakaza mafuvu jamani😂😂kazi yenu kufosi mambo,haya mzee ndio miee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
raia hawataki kukuelewa kabisa yan 🤣 🤣Watu mnakaza mafuvu jamani😂😂kazi yenu kufosi mambo,haya mzee ndio miee
Database wanaweka wap matokeoHakuna watu wanafki kama panelist
Dogo huwez kuona aisee wewe tulia kama ulifanya vizur oral subili hata mwaka huwez kuona matokeo ya oralDatabase wanaweka wap matokeo
Atulize wenge .. kama ipo . IpoDogo huwez kuona aisee wewe tulia kama ulifanya vizur oral subili hata mwaka huwez kuona matokeo ya oral
Aloo watu tumechoka mkuuBado unapumua kaka😂😂umezoeq kusikia uongo masikio yako hayoo alooo,
Ndio mkuuu atulie tu yeye kama anaendelea kulima aendelee tu UTUMISHI WANA UZI SANA UNAWEZA PANIC ALOOAtulize wenge .. kama ipo . Ipo
Duh ilikuwa safari ndefu..Hatimaye usahili wa walimu unaisha leoooo
Ndio mkuuu atulie tu yeye kama anaendelea kulima aendelee tu UTUMISHI WANA UZI SANA UNAWEZA PANIC AL
Soon tunaanza shuhudia ma PDF ya walimu sasa kada zengine tutachomolewa mmoja mmojaHatimaye usahili wa walimu unaisha leoooo
AmenHatimaye usahili wa walimu unaisha leoooo
Yan mapichapicha walah,tupo gizanmie mwenyewe niliona tangazo la utumishi hilo la kwao sikuliona. sasa hapo ndo nashindwa kuelewa inamaana na utumishi watarudia tena usahili au ndio imetoka
😂😂😂wanataka wanimalizie hasira zao za utumishi wueeehraia hawataki kukuelewa kabisa yan 🤣 🤣
sasa hivi kila mtu kachanganyikiwa aisee. 🤣 🤣 🤣😂😂😂wanataka wanimalizie hasira zao za utumishi wueeeh
Wapi huko mkuu?sehemu ya interview ishajaa uko
Ila Leonce jr umenichekesha sana 🤣Dogo huwez kuona aisee wewe tulia kama ulifanya vizur oral subili hata mwaka huwez kuona matokeo ya oral
kwenye webWapi huko mkuu?
Nimeona ya TAWA Muda huukwenye web