El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
inamaana hapo moja lazima iwe readvertised au atachukuliwa wa databaseKuna watu wana bahati..mtu anaitwa post 2 na zote yupo peke yake yaani hii kupata kazi ni kama kumsukuma mlevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inamaana hapo moja lazima iwe readvertised au atachukuliwa wa databaseKuna watu wana bahati..mtu anaitwa post 2 na zote yupo peke yake yaani hii kupata kazi ni kama kumsukuma mlevi
yaah naona mambo yashaiva.mkae mkao wa kulaNimeona ya TAWA Muda huu
Mimi sidhani kama yangu itakuja mapemayaah naona mambo yashaiva.mkae mkao wa kula
amna huwezi jua hawaelewekagi hawaMimi sidhani kama yangu itakuja mapema
Labda mwezi wa 6 huko maana ni ya mwezi wa kwanzaa
Ngoja tuone mkuu ... Lengo la kwanza ni kuingia kwenye data base 😂amna huwezi jua hawaelewekagi hawa
Psrs ni kama muhindi mkeka unachanika muda wowoteNenden mkakandwe au mkakande
Omba Mungu likitoka utokeee tu maana mikeka ya psprs inaweza toka mpka 20 usionekaneDuuuh siku nne doro yani hakuna mkeka wa placement??
Tusubiri usiku mana ndo mida yao siku hizi.Duuuh siku nne doro yani hakuna mkeka wa placement??
Saivi wapo wanandaaa interview ya MDAs & LGAs na venue wapo wanafanyia mitihanTusubiri usiku mana ndo mida yao siku hizi.
HaziishiSaivi wapo wanandaaa interview ya MDAs & LGAs na venue wapo wanafanyia mitihan
Wale wavivu wakimaliza kazi watafanya nini ?? waliacha kwa akiba watazifanya badaeHaziishi
Aah, kwahyo interview zote za MDAs/LGAs zimeshaisha wanatoa zingineWale wavivu wakimaliza kazi watafanya nini ?? waliacha kwa akiba watazifanya badae
Interview za MDA&LGA bado ziko nyingi sana waliita kama kada tano tu bado kama kada kumi hiviAah, kwahyo interview zote za MDAs/LGAs zimeshaisha wanatoa zingine
Ajira za mwez wa ngap hizooInterview za MDA&LGA bado ziko nyingi sana waliita kama kada tano tu bado kama kada kumi hivi
Hizi naongelea zile elfu sita walizotoa mwaka jana mwezi wa nane trh 3 , walishaita kada kama afisa usafirishaji,afisa maendeleo ya Jamii, afisa maendeleo msaidiz n.k bado afisa mazingira,afisa utalii,afisa uvuvi, afisa hesabu, madereva n.kAjira za mwez wa ngap hizo
Watumie hii likizo kutuita venue nying zitakuwa freeSaivi wapo wanandaaa interview ya MDAs & LGAs na venue wapo wanafanyia mitihan
Zipo zile zilibaki mkuu hawakumaliza walikata nusu nusu wakaachaAah, kwahyo interview zote za MDAs/LGAs zimeshaisha wanatoa zingine