Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ajira za mwez wa ngap hizo
Hizi naongelea zile elfu sita walizotoa mwaka jana mwezi wa nane trh 3 , walishaita kada kama afisa usafirishaji,afisa maendeleo ya Jamii, afisa maendeleo msaidiz n.k bado afisa mazingira,afisa utalii,afisa uvuvi, afisa hesabu, madereva n.k
Ndio nahisi wanafata hao maana ndio ajira za watu wengi zilizobaki ukitoa afya na waalimu.
 
Back
Top Bottom