Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Dah huyo faza amefariki aisee mung amrehemu
Huyu faza siku tunapiga paper ya bunge,alitukagua vyeti..tena nilivyomcheck nikajisemea moyoni huyu faza kwa nini asingepumzika tu home coz naona kachoka flani hivi kama anaumwa vile,ila pia nikajisemea kiutu uzima hapa kaja kupigania kaposho ili mambo home yaende sawa.
R.I.P
 
Waheshimiwa,
Kwenye matangazo ya website ya PSRS naona nafasi za ajira za O.U.T zimetangazwa jana,
Ila kwenye Portal sizioni kwa ajili ya kuapply-
Hii imekaaje ndugu wapambanaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…