Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Waheshimiwa,
Kwenye matangazo ya website ya PSRS naona nafasi za ajira za O.U.T zimetangazwa jana,
Ila kwenye Portal sizioni kwa ajili ya kuapply-
Hii imekaaje ndugu wapambanaji?
Utumishi wanazingua kichizi😂😂😂😂😂😂Kwahiyo wamesahau kuziweka kwenye portal lakini wataziweka tu
 
Waheshimiwa,
Kwenye matangazo ya website ya PSRS naona nafasi za ajira za O.U.T zimetangazwa jana,
Ila kwenye Portal sizioni kwa ajili ya kuapply-
Hii imekaaje ndugu wapambanaji?
Labda wamedelay sababu ya msiba
 
Waombaji wa fursa za Ajira mnatakiwa kuhuisha (Update) taarifa zenu kwa kutumia namba ya utambulisho wa Taifa (NIN), kwenye eneo ya Personal Details, aidha mnatakiwa kuhuisha taarifa kwenye eneo la Academic Qualification kwa kuweka kozi yako kwenye Category husika.
Ili kuona ‘STATUS’ ya maombi yako ya kazi, ingia sehemu ya ‘MY APPLICATION’ baada ya ku-‘login’ katika akaunti yako. Sehemu hii itakuwezesha kuona namba ya usaili kwa wale waliofanikiwa na sababu ya kutokuitwa kwa wale ambao hawajafanikiwa.
Leo natufuta Status yangu nakutana na hii. Ni Nini hii job seekers wenzangu?
 
Acha tuone
 

Mkuu, ni wachache sana watasoma mpaka mwisho ili walione swali lako.

Pamoja na kwamba jobless hawana kazi, ila ni wavivu wa kusoma maandishi marefu (nawatania msikasikirike).

Jibu ni kwamba hilo tangazo sio jipya ni la kawaida, hivyo kama unaamini tangu mara ya mwisho ulipopakia taarifa zako kwenye portal kuna mabadiliko umeyafanya ni vizuri ukayaongeza au kupunguza kwenye mfumo ili ikuongezee uwezekano wa kuitwa kwenye saili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…