Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wizy anakuambia byebye
Capture%2B_2022-11-10-04-44-42.jpg
 
Sidhani kama inaweza kuwa sababu pia istoshe misiba ya kiislam

Sidhani kama inaweza kuwa sababu ww tegemea big suprise kutoka kwao anytime,,,Pia huwa misiba ya kiislam huwa haina mambo mengi sana
Itakuwa jambo jema ikiwa hivyo
 
Hiyo shortlisted uhakika mzee ushapata lakini kama imekuandikia not selected kwenye app wewe tunaimba baba jeni bye bye na mwendo umeumaliza[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye app kuna Green SELECTED FOR...mbele kuna Yule sjui NULLUDIN. sijui ,IT wenyew wanajua
 
Back
Top Bottom