Imani yangu inanipa hivyo tusubiri mwezi ujao mzee mwezi huu sidhani kama zitatoka zile za before September lakini tulizofanya September ni mwezi ujaoHili suala la placement kutolewa mwezi ujao bwana Mlumbi umekua ukilisisitiza sana. Ni zaidi ya mara sita au saba nimeona ukiyanena haya.
ππππOya umeandikiwa not selected au?kama ni hivyo jua baba jeni bye bye mzee hahhhYaani ukiwasha data, unaingia website ya ajira. Ukiona hakuna Jambo unaingia ajira portal, nako ukiona hakueleweki, unakuja jamiiforums wakina wizy wakuchanganye vizuriππ
Shortlisted inanifuata Kama ndoige kakaππππOya umeandikiwa not selected au?kama ni hivyo jua baba jeni bye bye mzee hahhh
Mimi na shortlisted ni kama Chanda na PeteShortlisted inanifuata Kama ndoige kaka
πππππHapo uhakika andaa suti mwezi ujao ukachukue barua hakikisha kwenye app inasoma selected for na green colour ikienda red ujue mwendo umeumalizaShortlisted inanifuata Kama ndoige kaka
Hapo uhakikaππππandaa suti tu tarehe za mwishoni mwezi huu au mwanzo wa12 ukachukue baruaMimi na shortlisted ni kama Chanda na Pete
πππ Nachunguliaga kwa woga hukoπππππHapo uhakika andaa suti mwezi ujao ukachukue barua hakikisha kwenye app inasoma selected for na green colour ikienda red ujue mwendo umeumaliza
πππππHahhhh baba jeni bye bye mzeeπππ Nachunguliaga kwa woga huko
Acha tuendelee kuombaHapo uhakikaππππandaa suti tu tarehe za mwishoni mwezi huu au mwanzo wa12 ukachukue barua
Kweli maombi muhimuAcha tuendelee kuomba
Kijana wa hovyoo π€£π€£π€£π€£Hiyo shortlisted uhakika mzee ushapata lakini kama imekuandikia not selected kwenye app wewe tunaimba baba jeni bye bye na mwendo umeumalizaπππ
Ulikuwa uzi wa mdada anatafuta Mchumba.Nitag na mm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani ukiwasha data, unaingia website ya ajira. Ukiona hakuna Jambo unaingia ajira portal, nako ukiona hakueleweki, unakuja jamiiforums wakina wizy wakuchanganye vizuri[emoji23][emoji23]
πππππ Jobless tunanyanyasika sana aseehUlikuwa uzi wa madada anatafuta Mchumba.
Kigezo mojawapo ilikuwa lazima uwe na kazi na iwe mkoani Dar.
Ndipo nikasema ukiwa jobless ni manyanyaso kila sehemu
ππππHahhhh nishakumbuka kumbe kwako ipo not selected aseeeh mwendo umeumaliza na vita umepigana baba jeni bye byeKijana wa hovyoo π€£π€£π€£π€£
Mwendo nimeumaliza vita nimeishindwa tukutane mikando mingineπ€£π€£π€£π€£π
ππππHahhhh nishakumbuka kumbe kwako ipo not selected aseeeh mwendo umeumaliza na vita umepigana baba jeni bye bye
Psrs wamenipiga ndoigeπ°π
ππππHahhhh nishakumbuka kumbe kwako ipo not selected aseeeh mwendo umeumaliza na vita umepigana baba jeni bye bye
ππππKabisa umepigana vita vikuu vyakumshinda Goliath lakini like jiwe limemkosa sasa kilichobaki hapo ni speed yako yakukimbia ndo itakuokoa hahhhMwendo nimeumaliza vita nimeishindwa tukutane mikando mingineπ€£π€£π€£π€£
ππππHamna bhana hapo mpaka pdf itoke hiyo not selected ni mtandao umeyumba tu, sema sasa kwanini uyumbe kwako tu?πPsrs wamenipiga ndoigeπ°